Freshthinking
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 621
- 108
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedai kushtukia mchakato wa Katiba Mpya nchini na kubashiri kuwa Katiba hiyo haitakuwa na tija kwani inalenga kuwalinda na kuwanufaisha watawala badala ya wanachi.
Chadema wamedai kuwa pindi kitakaposhika madaraka, chama hicho kitaamua haraka kuisuka upya Katiba hiyo ili iwape nguvu,mamlaka na masilahi wananchi.
Hayo yalisemwa kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Ruaha wilayani Kilosa na Mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando.
Source: Mwananchi 26/12/2012
Bila ushabiki tujadili hii kauli.
>>> Hivi ina mantiki yoyote kwa sasa ilhali mchakato wa katiba bado unaendelea?
Chadema wamedai kuwa pindi kitakaposhika madaraka, chama hicho kitaamua haraka kuisuka upya Katiba hiyo ili iwape nguvu,mamlaka na masilahi wananchi.
Hayo yalisemwa kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Ruaha wilayani Kilosa na Mwanasheria wa chama hicho, Mabere Marando.
Source: Mwananchi 26/12/2012
Bila ushabiki tujadili hii kauli.
>>> Hivi ina mantiki yoyote kwa sasa ilhali mchakato wa katiba bado unaendelea?