CHADEMA katika uhalisia wake

CHADEMA katika uhalisia wake

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
CHADEMA imechagua kusema ukweli bila kubembeleza mtu au kikundi cha watu, eti hawa ni waalimu tusiwachokoze watatunyima kura waacheni hawa bodaboda ni jeshi kubwa litatunyima kura.

Ukweli usemwe bodaboda sio ajira ni laana wachukie wasichukie, ruzuku chukueni ni haki yenu, Mwenyekiti wa CCM mkaribisheni ni Rais wa wote, ikulu nendeni hata ikibidi mkalale huko huko anayechukia na achukie.

Enzi za kubembelezana zimekwisha, eti tukifanya hivi chama kitakimbiwa na wanachama, hata Slaa na akina Mdee wakiomba radhi wakaribishwe.

Hao hao wanaosema mmelambishwa asali ndio hao hao waliokuwa wakiwacheka na kuwadhihaki mlipokuwa mnapandishwa karandinga.

Chama kiliumizwa sana hakuna mikutano wala vikao, viongozi waliumizwa sana, hivi kuna bodaboda yeyote aliyeandamana mlipo haribiwa biashara zenu mashamba yenu, kuna mwalimu yeyote alipaza sauti mlipopigwa risasi mlipowekwa mahabusu.

Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.
 
 
CHADEMA imechagua kusema ukweli bila kubembeleza mtu au kikundi cha watu, eti hawa ni waalimu tusiwachokoze watatunyima kura waacheni hawa bodaboda ni jeshi kubwa litatunyima kura.

Ukweli usemwe bodaboda sio ajira ni laana wachukie wasichukie, ruzuku chukueni ni haki yenu, Mwenyekiti wa CCM mkaribisheni ni Rais wa wote, ikulu nendeni hata ikibidi mkalale huko huko anayechukia na achukie.

Enzi za kubembelezana zimekwisha, eti tukifanya hivi chama kitakimbiwa na wanachama, hata Slaa na akina Mdee wakiomba radhi wakaribishwe.

Hao hao wanaosema mmelambishwa asali ndio hao hao waliokuwa wakiwacheka na kuwadhihaki mlipokuwa mnapandishwa karandinga.

Chama kiliumizwa sana hakuna mikutano wala vikao, viongozi waliumizwa sana, hivi kuna bodaboda yeyote aliyeandamana mlipo haribiwa biashara zenu mashamba yenu, kuna mwalimu yeyote alipaza sauti mlipopigwa risasi mlipowekwa mahabusu.

Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.
Umeandika kitu kikubwa kweli, high mental power resolution! Higher mental faculty involvement, nimependa andiko lako. hasa hii: Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.
 
CHADEMA imechagua kusema ukweli bila kubembeleza mtu au kikundi cha watu, eti hawa ni waalimu tusiwachokoze watatunyima kura waacheni hawa bodaboda ni jeshi kubwa litatunyima kura.

Ukweli usemwe bodaboda sio ajira ni laana wachukie wasichukie, ruzuku chukueni ni haki yenu, Mwenyekiti wa CCM mkaribisheni ni Rais wa wote, ikulu nendeni hata ikibidi mkalale huko huko anayechukia na achukie.

Enzi za kubembelezana zimekwisha, eti tukifanya hivi chama kitakimbiwa na wanachama, hata Slaa na akina Mdee wakiomba radhi wakaribishwe.

Hao hao wanaosema mmelambishwa asali ndio hao hao waliokuwa wakiwacheka na kuwadhihaki mlipokuwa mnapandishwa karandinga.

Chama kiliumizwa sana hakuna mikutano wala vikao, viongozi waliumizwa sana, hivi kuna bodaboda yeyote aliyeandamana mlipo haribiwa biashara zenu mashamba yenu, kuna mwalimu yeyote alipaza sauti mlipopigwa risasi mlipowekwa mahabusu.

Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.


Umeongea vizuri Sana
 
CHADEMA imechagua kusema ukweli bila kubembeleza mtu au kikundi cha watu, eti hawa ni waalimu tusiwachokoze watatunyima kura waacheni hawa bodaboda ni jeshi kubwa litatunyima kura.

Ukweli usemwe bodaboda sio ajira ni laana wachukie wasichukie, ruzuku chukueni ni haki yenu, Mwenyekiti wa CCM mkaribisheni ni Rais wa wote, ikulu nendeni hata ikibidi mkalale huko huko anayechukia na achukie.

Enzi za kubembelezana zimekwisha, eti tukifanya hivi chama kitakimbiwa na wanachama, hata Slaa na akina Mdee wakiomba radhi wakaribishwe.

Hao hao wanaosema mmelambishwa asali ndio hao hao waliokuwa wakiwacheka na kuwadhihaki mlipokuwa mnapandishwa karandinga.

Chama kiliumizwa sana hakuna mikutano wala vikao, viongozi waliumizwa sana, hivi kuna bodaboda yeyote aliyeandamana mlipo haribiwa biashara zenu mashamba yenu, kuna mwalimu yeyote alipaza sauti mlipopigwa risasi mlipowekwa mahabusu.

Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.
Kwani anasababisha chadema kuonekana kituku wakati huu si ni lema ?embu tujikumbushe sera alizonadi tangia arejee toka canada;
1.Watanzania washamba
2:Boda boda ni laana
3: Mke wangu hawezi kushiriki vikoba
4:Ugali ni chakula cha maskini
5:Arusha wanajitambua wanapata cafelate
6: Mimi ni Mchagga
 
CHADEMA imechagua kusema ukweli bila kubembeleza mtu au kikundi cha watu, eti hawa ni waalimu tusiwachokoze watatunyima kura waacheni hawa bodaboda ni jeshi kubwa litatunyima kura.

Ukweli usemwe bodaboda sio ajira ni laana wachukie wasichukie, ruzuku chukueni ni haki yenu, Mwenyekiti wa CCM mkaribisheni ni Rais wa wote, ikulu nendeni hata ikibidi mkalale huko huko anayechukia na achukie.

Enzi za kubembelezana zimekwisha, eti tukifanya hivi chama kitakimbiwa na wanachama, hata Slaa na akina Mdee wakiomba radhi wakaribishwe.

Hao hao wanaosema mmelambishwa asali ndio hao hao waliokuwa wakiwacheka na kuwadhihaki mlipokuwa mnapandishwa karandinga.

Chama kiliumizwa sana hakuna mikutano wala vikao, viongozi waliumizwa sana, hivi kuna bodaboda yeyote aliyeandamana mlipo haribiwa biashara zenu mashamba yenu, kuna mwalimu yeyote alipaza sauti mlipopigwa risasi mlipowekwa mahabusu.

Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.
 
Tueleze taifa ambalo wananchi wake wote wanafanya kazi zinazowaingizia kipato kikubwa...

Yaani taifa lenye matajiri tupu, lisilokuwa na watu wa tabaka la kati na chini...

Ukifanya hivyo; nitajiunga na CHADEMA leo.
 
Huyo Lema na ukoo wake wote, na nyie CHADEMA wote mpo tabaka la juu... Hakuna wanachama wenu ambao ni bodaboda!!?
 
Kwani anasababisha chadema kuonekana kituku wakati huu si ni lema ?embu tujikumbushe sera alizonadi tangia arejee toka canada;
1.Watanzania washamba
2:Boda boda ni laana
3: Mke wangu hawezi kushiriki vikoba
4:Ugali ni chakula cha maskini
5:Arusha wanajitambua wanapata cafelate
6: Mimi ni Mchagga

Mngekuwa mnachukua hotuba mzima na sio vipande tu
 
Umeandika kitu kikubwa kweli, high mental power resolution! Higher mental faculty involvement, nimependa andiko lako. hasa hii: Fanyeni siasa mnazoona ni faida kwa chama na kwenu binafsi bila kuangalia mtamfurahisha nani na nani atachukia.
Mkuu Mbowe kavunjiwa billicanas kaharibiwa shamba lake alifungiwa akaunti zake zote ulisikia bodaboda anasema lolote, mimi binafsi nafutahia siasa walizochagua Chadema hata kama zitaumiza baadhi.
 
Back
Top Bottom