Uchaguzi 2020 CHADEMA Kibamba Wote kwa umoja wenu nendeni msindikizeni Mgombea wenu kuchukua fomu

Uchaguzi 2020 CHADEMA Kibamba Wote kwa umoja wenu nendeni msindikizeni Mgombea wenu kuchukua fomu

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Naamini CHADEMA Jimbo la kibamba mko wengi, nendeni kwa umoja wenu wote msindikizeni mgombea wenu akapewe fomu ya kugombea ubunge. Huyo mgombea ni wenu wananchi wanachama wa CHADEMA mliompemdekeza, chukueni Form yenu msilalie huu mchezo wa kihuni unaotaka kuchezwa.

Inaonekana huyu mkurugenzi anawajaribu, anaonekana wazi kutumika. Nendeni na viongozi wenu wote wa chama mwambie ni mgombea wake huyo hamumfahamu ni wake yeye.

Wa kuthibitisha barua na Mhuri wenu kua ni halali ni Viongozi wenu wa chama na siyo mkurugenzi.Awape hiyo barua kisha muikague kua ni halali au laah,ninyi ndio wa kuthibitisha kua imegushiwa na siyo yeye maana wanachama wa CHADEMA hawajui.

Inavyoonekana mchezo huu kuna dalili za ukaribu kati ya DED na OCD, anavyosema nendeni polisi maana yake analenga kuwapotezea muda upite mkose sifa kwa kushindwa kuchukua fomu.

Fanyeni haraka mkachukue fomu yenu, Kosa ni lake yeye asiwarushie Zigo, yeye ndiye amekosea kutoa fomu kwa mwanachama fake. Mwenye kosa ni DED siyo ninyi, aache kujitetea kizembe na kwa uongo hivyo.
 
Chadema mnalikosa Jimbo hivi hivi kwani toka hiyo mbaula izingue ni karibu wiki sasa na sijaona juhudi zozote za kuipata form. Yaani amekwenda pale tapeli wa CCM na barua ya kugushi na mnamuendekeza huyo kigagula,ina maana hakuna mabosi wake,yeye anachofanya ni kupoteza muda hadi ifike deadline.
 
Form ilishakwapuliwa, yale yale ya Meya Jacob... huyu mkurugenzi anajua kuwachezesha!
 
Mkurugenzi wa Kibamba kafanya wajibu wake.Mgombea mteule wa CHADEMA kaja na barua yenye mihuri na shaihi ya kiongozi wenu. In fact, Mkurugenzi kawatajia majina ya aliyechukua fomu na hata jina la kiongozi wenu aliyemtambulisha kwa barua husika.

Mkurugenzi hafanyi kazi ya kukagua kama sahihi au mihuri ni fake au siyo fake. kazi yake ni kutoa fomu kwa mgombea kadri anavyo tambulishwa na viongozi husika. Mkurugenzi hafanyi kazi ya kuhakiki sahihi au muhuri jamani. Fateni ushauri wake wa kkulipeleka suala hili Polisi vinginevyo muda utawapita yaani deadline ya tarehe 26/8/2020 itawapita. Aheni JAZIBA on this issue.
 
Chadema mnalikosa Jimbo hivi hivi kwani toka hiyo mbaula izingue ni karibu wiki sasa na sijaona juhudi zozote za kuipata form. Yaani amekwenda pale tapeli wa CCM na barua ya kugushi na mnamuendekeza huyo kigagula,ina maana hakuna mabosi wake,yeye anachofanya ni kupoteza muda hadi ifike deadline.
Huu ni USHAMBA wa CHADEMA. Kazi yao kulialia tu.Mpigieni simu Mkurugenzi wa NEC atoe maelekezo kwa huyo kada wa cvm. Au nendeni moja kwa moja ofisi za NEC
 
Mkurugenzi wa Kibamba kafanya wajibu wake.Mgombea mteule wa CHADEMA kaja na barua yenye mihuri na shaihi ya kiongozi wenu. In fact, Mkurugenzi kawatajia majina ya aliyechukua fomu na hata jina la kiongozi wenu aliyemtambulisha kwa barua husika. Mkurugenzi hafanyi kazi ya kukagua kama sahihi au mihuri ni fake au siyo fake. kazi yake ni kutoa fomu kwa mgombea kadri anavyo tambulishwa na viongozi husika. Mkurugenzi hafanyi kazi ya kuhakiki sahihi au muhuri jamani. Fateni ushauri wake wa kkulipeleka suala hili Polisi vinginevyo muda utawapita yaani deadline ya tarehe 26/8/2020 itawapita. Aheni JAZIBA on this issue.
Huo ni uhuni hakuna wajibu hapo. Acha kutetea ujinga
 
Uongozi wa CHADEMA wakishaikataa barua aliyoiwasilisha mgombea ambaye mkurugenzi alimpa form, ni jukumu lake yeye mkurigenzi kumtafuta huyo tapeli, na siyo jukumu la CHADEMA. Mkurugenzi ndiye anayejua alimpa nani.

Huyo mkurugenzi asiwafanye watu hawana akili. Huo uwendawazimu wa mkurugenzi, hautamtoka kama CJADEMA na wananchi wataendelea kumchekea.
 
Chadema mnalikosa Jimbo hivi hivi kwani toka hiyo mbaula izingue ni karibu wiki sasa na sijaona juhudi zozote za kuipata form. Yaani amekwenda pale tapeli wa CCM na barua ya kugushi na mnamuendekeza huyo kigagula,ina maana hakuna mabosi wake,yeye anachofanya ni kupoteza muda hadi ifike deadline.
Inakuwaje kama bosi ndio mpangaji
 
Mtakuwa mumefanya maandamano haramu mutagongwa, ikitokea wote wawili wakarudisha form na wote wana barua halali itakuwaje?
 
Kwanini wasipeleke hoja yao NEC makao makuu Kwani huyo Mkurugenzi ndo Ngazi ya mwisho kwa maamuzi hadi wanaambiwa waende polisi wakati wao wanataka fomu polisi ndiko ziliko fomu watakuwa wajinga kama wataendelea kupoteza muda na huyo Mkurugenzi aliyeonesha rangi yake mapema
 
Mkurugenzi wa Kibamba kafanya wajibu wake.Mgombea mteule wa CHADEMA kaja na barua yenye mihuri na shaihi ya kiongozi wenu. In fact, Mkurugenzi kawatajia majina ya aliyechukua fomu na hata jina la kiongozi wenu aliyemtambulisha kwa barua husika. Mkurugenzi hafanyi kazi ya kukagua kama sahihi au mihuri ni fake au siyo fake. kazi yake ni kutoa fomu kwa mgombea kadri anavyo tambulishwa na viongozi husika. Mkurugenzi hafanyi kazi ya kuhakiki sahihi au muhuri jamani. Fateni ushauri wake wa kkulipeleka suala hili Polisi vinginevyo muda utawapita yaani deadline ya tarehe 26/8/2020 itawapita. Aheni JAZIBA on this issue.

Sasa hiyo kazi ya kukaguwa kama barua ni fake au la ni kazi ya nani kama siyo ya Mkurugenzi anayetoa fomu. Hivi unaweza kutoa fomu kwa mtu ambaye chama kinasema hakija mteu halafu unasema wewe siyo kazi yako kuhakikisha unatoa fomu kwa mgombea aliyeteuliwa na chama. Hivo si kukataa wajibu wake Sasa kama siyo wajibu wa yeye nani sasa anayetakiwa kuhakikisha hilo. Kumbe wajinga wako wengi sana hapa Tanzania.
 
Huu ni USHAMBA wa CHADEMA. Kazi yao kulialia tu.Mpigieni simu Mkurugenzi wa NEC atoe maelekezo kwa huyo kada wa cvm. Au nendeni moja kwa moja ofisi za NEC
Chadema viongozi wana tabia ya kulala mpaka mambo yaharibike
 
Mtakuwa mumefanya maandamano haramu mutagongwa, ikitokea wote wawili wakarudisha form na wote wana barua halali itakuwaje?

Atateuliwa anayetambuliwa na chama maana kuchukuwa fomu siyo kuteuliwa baada ya kurudisha fomu zinakaguliwa kama chama kimemdhamini kama sheria inavotaka kwa hiyo hakuna tatizo yule anyetambuliwa na chama atateuliwa na huyo mwengine atapambana na hali yake
 
Sasa hiyo kazi ya kukaguwa kama barua ni fake au la ni kazi ya nani kama siyo ya Mkurugenzi anayetoa fomu. Hivi unaweza kutoa fomu kwa mtu ambaye chama kinasema hakija mteu halafu unasema wewe siyo kazi yako kuhakikisha unatoa fomu kwa mgombea aliyeteuliwa na chama. Hivo si kukataa wajibu wake Sasa kama siyo wajibu wa yeye nani sasa anayetakiwa kuhakikisha hilo. Kumbe wajinga wako wengi sana hapa Tanzania.
Ni hivi, Mkurugenzi anaangalia barua imetoka kwenye chanzo na mamlaka sahihi via hiyo barua yenyewe na sahihi husika. mkurugenzi kamtaja kiongozi wa CHADEMA kwenye ngazi ya mkoa aliyetia sahihi hiyo barua. Sasa mnataka Mkurugenzi ahakiki nini? CHADEMA wamfuate kiongozi wao wa mkoa awaeleze aliyempa barua. Sijui kama nilimsikia huyo Mkurugenzi akitaja hata jina la aliyempa hizo fomu. Sijui CHADEMA mnashindwa wapi pa kuanzia!
 
Back
Top Bottom