Uchaguzi 2020 CHADEMA Kibamba Wote kwa umoja wenu nendeni msindikizeni Mgombea wenu kuchukua fomu

Uchaguzi 2020 CHADEMA Kibamba Wote kwa umoja wenu nendeni msindikizeni Mgombea wenu kuchukua fomu

Ni hivi, Mkurugenzi anaangalia barua imetoka kwenye chanzo na mamlaka sahihi via hiyo barua yenyewe na sahihi husika. mkurugenzi kamtaja kiongozi wa CHADEMA kwenye ngazi ya mkoa aliyetia sahihi hiyo barua. Sasa mnataka Mkurugenzi ahakiki nini? CHADEMA wamfuate kiongozi wao wa mkoa awaeleze aliyempa barua. Sijui kama nilimsikia huyo Mkurugenzi akitaja hata jina la aliyempa hizo fomu. Sijui CHADEMA mnashindwa wapi pa kuanzia!
HILI TATIZO WALA LISINGETAKIWA LIWAHUSU CHADEMA, HAPA ILITAKIWA MKURUGENZI NDIO ABANWE KWA KUTAPELIWA KIRAHISI RAHISI.
PIA NAFIKIRI KAMA MKURUGENZI ANA NIA YA KUTENDA HAKI KWELI ILITAKIWA WAKAE WOTE YEYE PAMOJA NA CHADEMA ILI KUJUA WANAMALIZA VIPI HILI TATIZO NA FOMU IPATIKANE, KWASABABU WATU WACHACHE HAWAWEZI KUHARIBU SUALA ZITO KAMA HILI LA UCHAGUZI KIRAHISI RAHISI HIVYO.
 
Hii ni mbinu mpya na wanatest mitambo wakiona mnazubaa basi hii mbinu itatumiwa kwa majimbo na kata nyingi kama sio zote.
 
Huu ni USHAMBA wa CHADEMA. Kazi yao kulialia tu.Mpigieni simu Mkurugenzi wa NEC atoe maelekezo kwa huyo kada wa cvm. Au nendeni moja kwa moja ofisi za NEC
Tuko busy dodoma
IMG_20200819_222717.jpeg
 
Back
Top Bottom