CHADEMA kimekua sasa kinaweza kupewa dola

CHADEMA kimekua sasa kinaweza kupewa dola

rwenge

Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
44
Reaction score
22
Ni ukweli mchungu kwa chama tawala na wote wanufaikao na mfumo wa chama hiki kuwa upinzani sasa umekomaaa na unakila sifa ya kuaminiwa na kupewa nchi ili kutuongoza ukweli huu unaonekana kwa jinsi wanavyopangilia mambo yao na mikakati yao mikubwa kwa ukombozi wa Taifa ni muhim sana kuwa na vyama mbadala vyenye nguvu kwa mustakabali wa Taifa letu siasa in uadui wala ugomvi
 
kweli kabisa maana hawa ambao wako madarakani tusitegeme jipya zaidi ya pain in our a....,
miaka nenda rudi viongozi hao hao hawana jipya akili zao ndiyo zimefikia mwisho ni wakati kuja kwa dola mpya na chama kipya
 
Ni ukweli mchungu kwa chama tawala na wote wanufaikao na mfumo wa chama hiki kuwa upinzani sasa umekomaaa na unakila sifa ya kuaminiwa na kupewa nchi ili kutuongoza ukweli huu unaonekana kwa jinsi wanavyopangilia mambo yao na mikakati yao mikubwa kwa ukombozi wa Taifa ni muhim sana kuwa na vyama mbadala vyenye nguvu kwa mustakabali wa Taifa letu siasa in uadui wala ugomvi

Could it be that being poor is the actual cause?
 
Huo ndo ukweli, ccm wamelewa madaraka tayari! Nikimsikiliza samweli sitta nasikitika sana. Kauli zake zimejaa majivuno, ubabe, na hata tambo zisizo na mashiko!
 
Naunga mkono kukua kwa CDM na kustahili kupewa Nchi maana CCM imezeeka na imekosa njia sahihi ya kuikomboa hii Nchi na umaskini......
 
Zamani ilikuwa ni kama uhaini kushabikia vyama vya upinzani na tena kuna watu wamefilisiwa na hata kutiwa korokoron muda umefika sasa chama tawala kuacha kutumia dola kudhibiti ukuaji wa vyama shindani maana hatujui kesho yetu itakuwaje
 
Mbowe hanasela nasiasa zake za kibabe,anashindwa kutuambia walikubaliana kipi na jk anahimiza watu kuvunjasheria.
Nimeuliza speech ndo inachukua nchi? Halafu jaribu kuwa unafanya masahihisho ya ulicho andika kabla ya kupost..
 
Back
Top Bottom