Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakika chadema inastahili kuchukua inchi!bila cdm tanzania inapotea kwenye uso wa dunia.
jifariji kwa kushinda kwenye jeyboard, wakati viongozi wako wakuu wanahaha, baada ya mbinu zao zote kuishiwa nguvu.
Mwaka huu inabidi utage, kwenda msalani tu hakutoshi!dola gani?
Ni ukweli mchungu kwa chama tawala na wote wanufaikao na mfumo wa chama hiki kuwa upinzani sasa umekomaaa na unakila sifa ya kuaminiwa na kupewa nchi ili kutuongoza ukweli huu unaonekana kwa jinsi wanavyopangilia mambo yao na mikakati yao mikubwa kwa ukombozi wa Taifa ni muhim sana kuwa na vyama mbadala vyenye nguvu kwa mustakabali wa Taifa letu siasa in uadui wala ugomvi
Ni ukweli mchungu kwa chama tawala na wote wanufaikao na mfumo wa chama hiki kuwa upinzani sasa umekomaaa na unakila sifa ya kuaminiwa na kupewa nchi ili kutuongoza ukweli huu unaonekana kwa jinsi wanavyopangilia mambo yao na mikakati yao mikubwa kwa ukombozi wa Taifa ni muhim sana kuwa na vyama mbadala vyenye nguvu kwa mustakabali wa Taifa letu siasa in uadui wala ugomvi
Ivi chadema nayo ni yakuitafutia mbinu?
waulize viongozi wako, kwanini wanatumia pesa nyingi kukuhujumu cdm, pia kwanini wamejigeuza watabiri kuwa itakufa, aya na jana mbowe karudi kazi mnayo.
dola gani?
Naunga mkono kukua kwa CDM na kustahili kupewa Nchi maana CCM imezeeka na imekosa njia sahihi ya kuikomboa hii Nchi na umaskini......
cdm bado sana kuaminiwa hadi wapewe dola. Chama kimewashnda kuendesha itakuwaje dola?
dola gani?