Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka nenda kawaambie watz haya unayosema km hawajakuzalisha. Pimbi wwMnahujumiwa wapi? Ivi viongozi wenu wakudumu wanapoamua kubadili vipengele vya katiba kinyemela hiyo ni hujuma ya CCM? Viongozi wenu kukosa uadilifu nayo ni hujuma ya CCM?
dola gani?
Mbowe hanasela nasiasa zake za kibabe,anashindwa kutuambia walikubaliana kipi na jk anahimiza watu kuvunjasheria.
Ivi chadema nayo ni yakuitafutia mbinu?
Ni ukweli mchungu kwa chama tawala na wote wanufaikao na mfumo wa chama hiki kuwa upinzani sasa umekomaaa na unakila sifa ya kuaminiwa na kupewa nchi ili kutuongoza ukweli huu unaonekana kwa jinsi wanavyopangilia mambo yao na mikakati yao mikubwa kwa ukombozi wa Taifa ni muhim sana kuwa na vyama mbadala vyenye nguvu kwa mustakabali wa Taifa letu siasa in uadui wala ugomvi
tatizo mnadhani DOLA ni SACCOS ambayo hata mjinga na mumiani anaweza kuiendesha.Ni ukweli mchungu kwa chama tawala na wote wanufaikao na mfumo wa chama hiki kuwa upinzani sasa umekomaaa na unakila sifa ya kuaminiwa na kupewa nchi ili kutuongoza ukweli huu unaonekana kwa jinsi wanavyopangilia mambo yao na mikakati yao mikubwa kwa ukombozi wa Taifa ni muhim sana kuwa na vyama mbadala vyenye nguvu kwa mustakabali wa Taifa letu siasa in uadui wala ugomvi
Ukweli lazima tuuseme kwa matokeo ya sasa serikal za mitaa chadema anzen kupiga jaramba kuingia magogoni
hatutaki shida bora ccm yetu