Chadema kimekuwa chama cha kutetea majambazi, inasikitisha sana

Chadema kimekuwa chama cha kutetea majambazi, inasikitisha sana

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Hao majambazi wanatengeneza CCM na genge Lao Kwa kuwabagua watanzania Leo Ajira zinagawiwa Kwa Kadi za CCM yaani bila Kadi ya chama huwezi kupata Ajira huu ni ubaguzi wa kikoloni ambao watanganyika walipambana kuondoa aina zozote za ubaguzi ,mfano Ajira za Sensa zilitolewa Kwa ubaguzi ,mleta mada Acha propaganda za kingai nchi hii haina muda mwingi tutapigana wenyewe Kwa sababu ya ubinafsi,uchawa wa vijana wa Tanzania ,hivi ile tume ya mauaji ya mtwara imekwenda wapi!Leo hii hakuna chuo kinacho toa fikra zenye mantiki kuanzia DSM University yote ni Kwa sababu CCM wameamua kuua elimu,afya,jeshi ni ujinga kila eneo yaani Kansa ya miongo hadi miongo.
 
Hao majambazi wanatengeneza CCM na genge Lao Kwa kuwabagua watanzania Leo Ajira zinagawiwa Kwa Kadi za CCM yaani bila Kadi ya chama huwezi kupata Ajira huu ni ubaguzi wa kikoloni ambao watanganyika walipambana kuondoa aina zozote za ubaguzi ,mfano Ajira za Sensa zilitolewa Kwa ubaguzi ,mleta mada Acha propaganda za kingai nchi hii haina muda mwingi tutapigana wenyewe Kwa sababu ya ubinafsi,uchawa wa vijana wa Tanzania ,hivi ile tume ya mauaji ya mtwara imekwenda wapi!Leo hii hakuna chuo kinacho toa fikra zenye mantiki kuanzia DSM University yote ni Kwa sababu CCM wameamua kuua elimu,afya,jeshi ni ujinga kila eneo yaani Kansa ya miongo hadi miongo.

Lema ni jobless mbona hajawa jambazi?

Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?

Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.
 
Lema ni jobless mbona hajawa jambazi?

Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?

Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.
Leo takwimu za dunia zimesema kwamba CCM ni namna 3 Kwa wizi halafu wewe unakuja na uchawa wa lumumba
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Hata yule aliyemiminiwa masasi yakuulia tembo wanachukua chako mapema mlimnanga kubwa ni msaliti,halafu kitambo kidogo tu mnaanza kulalamika mbona hakuna waliwatetea dhidi ya mateso ya wanachukua chako mapema wenzenu 😂
 
Leo takwimu za dunia zimesema kwamba CCM ni namna 3 Kwa wizi halafu wewe unakuja na uchawa wa lumumba
Chadema kuna kipindi mlikuwa kama sauti ya wananchi ila sasa mmkekuwa mburula..... sijawai kuona chama duniani kinatetea majambazi
 
Hata yule aliyemiminiwa masasi yakuulia tembo wanachukua chako mapema mlimnanga kubwa ni msaliti,halafu kitambo kidogo tu mnaanza kulalamika mbona hakuna waliwatetea dhidi ya mateso ya wanachukua chako mapema wenzenu 😂
Lissu ni msaliti na history itamkumbuka hivyo... yeye aendelee kutetea wezi na vibaka
 
Hao majambazi wanatengeneza CCM na genge Lao Kwa kuwabagua watanzania Leo Ajira zinagawiwa Kwa Kadi za CCM yaani bila Kadi ya chama huwezi kupata Ajira huu ni ubaguzi wa kikoloni ambao watanganyika walipambana kuondoa aina zozote za ubaguzi ,mfano Ajira za Sensa zilitolewa Kwa ubaguzi ,mleta mada Acha propaganda za kingai nchi hii haina muda mwingi tutapigana wenyewe Kwa sababu ya ubinafsi,uchawa wa vijana wa Tanzania ,hivi ile tume ya mauaji ya mtwara imekwenda wapi!Leo hii hakuna chuo kinacho toa fikra zenye mantiki kuanzia DSM University yote ni Kwa sababu CCM wameamua kuua elimu,afya,jeshi ni ujinga kila eneo yaani Kansa ya miongo hadi miongo.
Pambaf, jambazi mkubwa we
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.

Nadhani wewe ni jambazi, au wasemaje? Kwa akili zako ndogo, umeiona CHADEMA inakutetea? Saikolojia haijadanganya, ukiona mtu ameshupalia kitu ujue anakifanya na hataki ushindani! Pole sana ndugu, inaonekana wewe na familia yenu ni majambazi, na kwa kuwa uko CCM, hii ndiyo agenda yenu!! Poleni sana familia ya Majambazi na chawa wa Kijani!!
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.

Fadhili la majambazi kwenye ubora wake limetulizana:

IMG_20220928_193111_561.jpg
 
Mtoa hoja bila shaka ni middle class uliye zuzu, huelewi kuwa policy mbovu za chama chako ndizo zilizo create Panya-road na hawa ni vibaka tu majambazi yenyewe yamo ndani ya chama dola, wapi our 1.5T shs.?,na nini kimetokea pale Ferry hadi mmebinafsisha ile huduma ya kuvusha watu?,Chadema wanatetea wajibu wa kisheria, wote tuishi kisheria including to be innocent until court of law iamue ,elewa ni wajibu wa police to arrest not to shot to kill, shot to kill ya police wetu haina tofauti na ya makuburu pale SA na matokeo yake raia nao they're shooting to kill!,police wetu wanatuletea a violence generation, Botswana 🇧🇼 police wao ni super na rushwa ni zero na ujambazi ni almost ni zero, mwambie igp wako atoe crime statistics za nchi
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Hujatoa facts bado, lete facts unless otherwise ni chuki za kisiasa!!
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Polisi wamepata wapo haki ya kuhukumu?
 
Lema ni jobless mbona hajawa jambazi?

Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?

Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.
Kwenye wapumbavu na wewe umo.kama atatokea maraika akapiga mahesabu ya watu walioiba rasilimali za nchiiii na kuiacha masikini hakuna haja ya kuwaua vibaka na panyaroad.kamata wanaccm wote uwaue.hivi unajua watu kama mwigulu wanamiliki shs ngapi hawa ni wakupigwa shaba ni zaidi ya wahalifu.
 
Back
Top Bottom