Chadema kimekuwa chama cha kutetea majambazi, inasikitisha sana

Chadema kimekuwa chama cha kutetea majambazi, inasikitisha sana

Hata Mimi nimeshangazwa sana na misimamo ya chadema ya kutetea majambazi mpaka kuita press. Uzuri wake wenyeji wamesha waumbua.
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Kwa akili pumba kama hizi mumeo alikuwa sahihi kumtafuna [emoji536] girl wako na kuzaa naye .
 
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.

Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.

Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.

Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
🚮🚮🚮 Pumba tupu..
👇👇
 
Huwa napenda kukucheki tu ulivyo na mahaba kwa CCM yako, kipenda roho..
 
Siyo kweli, ni vile tu wameshikwa pabaya...
 
Lema ni jobless mbona hajawa jambazi?

Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?

Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.
Huu ndio umakini wa ccm na utohara wake?
IMG_20211111_073016.jpg


Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom