Hao majambazi wanatengeneza CCM na genge Lao Kwa kuwabagua watanzania Leo Ajira zinagawiwa Kwa Kadi za CCM yaani bila Kadi ya chama huwezi kupata Ajira huu ni ubaguzi wa kikoloni ambao watanganyika walipambana kuondoa aina zozote za ubaguzi ,mfano Ajira za Sensa zilitolewa Kwa ubaguzi ,mleta mada Acha propaganda za kingai nchi hii haina muda mwingi tutapigana wenyewe Kwa sababu ya ubinafsi,uchawa wa vijana wa Tanzania ,hivi ile tume ya mauaji ya mtwara imekwenda wapi!Leo hii hakuna chuo kinacho toa fikra zenye mantiki kuanzia DSM University yote ni Kwa sababu CCM wameamua kuua elimu,afya,jeshi ni ujinga kila eneo yaani Kansa ya miongo hadi miongo.Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.
Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.
Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.
Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Hao majambazi wanatengeneza CCM na genge Lao Kwa kuwabagua watanzania Leo Ajira zinagawiwa Kwa Kadi za CCM yaani bila Kadi ya chama huwezi kupata Ajira huu ni ubaguzi wa kikoloni ambao watanganyika walipambana kuondoa aina zozote za ubaguzi ,mfano Ajira za Sensa zilitolewa Kwa ubaguzi ,mleta mada Acha propaganda za kingai nchi hii haina muda mwingi tutapigana wenyewe Kwa sababu ya ubinafsi,uchawa wa vijana wa Tanzania ,hivi ile tume ya mauaji ya mtwara imekwenda wapi!Leo hii hakuna chuo kinacho toa fikra zenye mantiki kuanzia DSM University yote ni Kwa sababu CCM wameamua kuua elimu,afya,jeshi ni ujinga kila eneo yaani Kansa ya miongo hadi miongo.
Leo takwimu za dunia zimesema kwamba CCM ni namna 3 Kwa wizi halafu wewe unakuja na uchawa wa lumumbaLema ni jobless mbona hajawa jambazi?
Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?
Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.
Hata yule aliyemiminiwa masasi yakuulia tembo wanachukua chako mapema mlimnanga kubwa ni msaliti,halafu kitambo kidogo tu mnaanza kulalamika mbona hakuna waliwatetea dhidi ya mateso ya wanachukua chako mapema wenzenu 😂Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.
Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.
Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.
Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Lissu ni msaliti na history itamkumbuka hivyo... yeye aendelee kutetea wezi na vibakaHata yule aliyemiminiwa masasi yakuulia tembo wanachukua chako mapema mlimnanga kubwa ni msaliti,halafu kitambo kidogo tu mnaanza kulalamika mbona hakuna waliwatetea dhidi ya mateso ya wanachukua chako mapema wenzenu 😂
Sasa ujue tu wasaliti namba moja wa taifa letu ni wanachukua chako mapema (ccm)😂Lissu ni msaliti na history itamkumbuka hivyo... yeye aendelee kutetea wezi na vibaka
Pambaf, jambazi mkubwa weHao majambazi wanatengeneza CCM na genge Lao Kwa kuwabagua watanzania Leo Ajira zinagawiwa Kwa Kadi za CCM yaani bila Kadi ya chama huwezi kupata Ajira huu ni ubaguzi wa kikoloni ambao watanganyika walipambana kuondoa aina zozote za ubaguzi ,mfano Ajira za Sensa zilitolewa Kwa ubaguzi ,mleta mada Acha propaganda za kingai nchi hii haina muda mwingi tutapigana wenyewe Kwa sababu ya ubinafsi,uchawa wa vijana wa Tanzania ,hivi ile tume ya mauaji ya mtwara imekwenda wapi!Leo hii hakuna chuo kinacho toa fikra zenye mantiki kuanzia DSM University yote ni Kwa sababu CCM wameamua kuua elimu,afya,jeshi ni ujinga kila eneo yaani Kansa ya miongo hadi miongo.
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.
Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.
Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.
Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.
Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.
Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.
Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Majambazi ni wanachukua chako mapemaPambaf, jambazi mkubwa we
hahaha imeingia hiyo penyewe wacha ikutekenyePambaf, jambazi mkubwa we
Hujatoa facts bado, lete facts unless otherwise ni chuki za kisiasa!!Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.
Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.
Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.
Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Polisi wamepata wapo haki ya kuhukumu?Kwa sasa kero kubwa kwa wananchi imekuwa kukithili kwa ujambazi na majambazi yamekuwa tishio.
Jeshi la police linajitahidi kupambana na majambazi kwa kila namna ili kuifanya nchi kuwa sehemu salama ya kuishi.
Kwa bahati mbaya chama cha chadema (zamani CHADEPA) wao wamesimama kutetea majambazi. Serikali inalinda raia na mali zao wao Chadema wanatetea majambazi kisa wengi ni ndugu zao na wanakula nao walivyochuma.
Chadema imepoteza dira na uelekeo kimekuwa chama cha kutetea wizi na ujambazi.
Kwenye wapumbavu na wewe umo.kama atatokea maraika akapiga mahesabu ya watu walioiba rasilimali za nchiiii na kuiacha masikini hakuna haja ya kuwaua vibaka na panyaroad.kamata wanaccm wote uwaue.hivi unajua watu kama mwigulu wanamiliki shs ngapi hawa ni wakupigwa shaba ni zaidi ya wahalifu.Lema ni jobless mbona hajawa jambazi?
Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?
Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.