Chadema kimekuwa chama cha kutetea majambazi, inasikitisha sana

Hata Mimi nimeshangazwa sana na misimamo ya chadema ya kutetea majambazi mpaka kuita press. Uzuri wake wenyeji wamesha waumbua.
 
Kwa akili pumba kama hizi mumeo alikuwa sahihi kumtafuna [emoji536] girl wako na kuzaa naye .
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Pumba tupu..
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
 
Huwa napenda kukucheki tu ulivyo na mahaba kwa CCM yako, kipenda roho..
 
Siyo kweli, ni vile tu wameshikwa pabaya...
 
Lema ni jobless mbona hajawa jambazi?

Msigwa ni jobless mbona hajawa jambazi?

Ujambazi ni tabia za mtu na mara nyingi ni damu iliyo kwenye ukoo, CCM ni chama makini hakijawai kutengeneza majambazi.
Huu ndio umakini wa ccm na utohara wake?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ