Chadema KOROGWE MJI wapata viongozi wapya

Chadema KOROGWE MJI wapata viongozi wapya

mkuruga

Senior Member
Joined
Sep 13, 2024
Posts
193
Reaction score
154
Atimaye Jana terehe 18/10/2024 chadema Jimbo la KOROGWE wamepata viongozi baada ya uhaguzi wa kidemoxrasia kufanyika ambapo nafasi mbalimbali kugombaniwa ambapo nafasi ya mwenyekiti aligombaniwa na wagombea watatu ambazo ni kamanda John mapunda alikuwa anatetea nafasi yake Ezekiel mbwilo pamoja na kamanda abdalah mshindi wa kinyang'anyiro hicho ni mheshiwa kamanda Ezekiel mbwilo ambaye ameshinda kwa asilimia 58 dhidi ya John mapunda
 
Atimaye Jana terehe 18/10/2024 chadema Jimbo la KOROGWE wamepata viongozi baada ya uhaguzi wa kidemoxrasia kufanyika ambapo nafasi mbalimbali kugombaniwa ambapo nafasi ya mwenyekiti aligombaniwa na wagombea watatu ambazo ni kamanda John mapunda alikuwa anatetea nafasi yake Ezekiel mbwilo pamoja na kamanda abdalah mshindi wa kinyang'anyiro hicho ni mheshiwa kamanda Ezekiel mbwilo ambaye ameshinda kwa asilimia 58 dhidi ya John mapunda
Safi CDM.
 
Back
Top Bottom