CHADEMA: Kuahirishwa kesi ya Wabunge 19 wanasogeza muda

CHADEMA: Kuahirishwa kesi ya Wabunge 19 wanasogeza muda

Kuilinda nikuchalangana na WANACHAMA wennzio na makesi yasiyoishaa? Hivi chadema ikiachana na Jao wabunge 19 itapoteza mvuto wakee?? Chama kijikite kujenga WANACHAMA wapya kulikokushinda mahakamani na kutumia garama za bule ambazo zingefanya mambo mengine Kwa MAENDELEO ya chama.
CHADEMA ilishawafukuza kitambo hivyo wao ndiyo wanang'ang'ania
 
Tupate tusipate hamna shida ila tumeonyesha uzalendo wa hali ya juu na kuwaonyesha ccm kuwa hiki wanachokifanya kwa sasa kuhusu hao wabunge 19 si sahihi na kuna siku hili ni jipu lao wenyewe,wasidhani wanawakomoa Chadema bali wanaikomoa Tanzania iliyo huru kuwa Tanzania ya wajinga na wapumbavu.Jambo liko wazi kisheria,kifkra,kimtazamo na kiraia kuwa mbunge atatokana na chama cha siasa au atateuliwa na rais,kama rais aliona kuwa Bunge halitanoga bila kuwa na wapinzani,alikuwa na mamlaka ya kuwateua yeye,lakini kilichofanyika ni upumbavu tu wa akina Ndugai,Magufuri,Mahera na Biswalo kuhalalisha haramu kuwa halali.
Tujifunze kutenda mema kwa wote,kutii sheria za nchi tulizojiwekea kwa mujibu wa sheria,kudumisha utamaduni wetu wa umoja na mshikamano,kuenzi mazuri yaliyoanzishwa na waasisi wa taifa hili,tuepukana na mambo ya Rwanda,Uganda,Burundi na DRC ili tuweze kufaidi matunda ya uhuru wetu.
Uzalendo gani kuchalangana na WANACHAMA wenzako mhimuu. Hivi hamuoni hasara kupoteza watu kama hai wabunge 19. Kunagarama kubwaa kuwapata watu mahili kama hai akina mdee Kwa sasaa, ebu chadema achaneni na mikesi mahakamani, yajengeni kwenye chama chetu yaishee. Kumbukeni hakuna mkamilifuu.
 
Chadema badala ya kupambania haki za watanzania, matokeo yake wako wanashitakiana na wabunge wao wanao wanaotetea maslahi ya chama Chao.

Nashauri chadema waachane na hii kesi matokeo yake wajikite kukijenga chama Chao.

Na Jao wabunge waache waendeleza na kazii Yao, na pia chama kiazimie kuwasamehe majembe hayo yachape kazii ILI chama kisongembele na kufanya mikakati minginee. Kushinda mahakamani na WANACHAMA wako hii haileti afyaa.

Chadema kutaneni na WANACHAMA wenu, Kisha sameheaneni na kumtambua hamtaongoza malaika wa mbinguni wasio na makosaa.

Futeni kesi zote mahakamani peaneno mikono, jengeni upya chama. Kumbukeni suluhisho la mapambano kama hayo Huwa hayanamshindi kamili. Niushauri wangu tuuu.

Asanteni
Usipofuta principle na utaratibu unaotakiwa, hutojenga chama. Kuna siku wengine watakengeuka wakitegemea kusamehewa. Pia tambua hilo zengwe limetengenezwa kimkakati kukimaliza CDM.
Ni afadhali chama kidhoofike kwa kufuata principle zake kuliko kudandia unafuu utakaokiteketeza mbeleni.
Unajua litakalosemwa wakiwasamehe?? Wa kwanza wewe, vimada wao hawawez kuwafanya lolote na mengine mengi
 
Usipofuta principle na utaratibu unaotakiwa, hutojenga chama. Kuna siku wengine watakengeuka wakitegemea kusamehewa. Pia tambua hilo zengwe limetengenezwa kimkakati kukimaliza CDM.
Ni afadhali chama kidhoofike kwa kufuata principle zake kuliko kudandia unafuu utakaokiteketeza mbeleni.
Unajua litakalosemwa wakiwasamehe?? Wa kwanza wewe, vimada wao hawawez kuwafanya lolote na mengine mengi
Chadema haitaongoza akina malaika. Bado kitakutana na changamoto lukukii. Kama mnataka kupambana Kila mtuuu, mtanyongonyea kweli na kuanza kulialia uko Kwa wazungu eti mnaonewa. Acheni hii kesi chengeni chama.
 
Kwenye hilo kundi namkubali sana Ester Bulaya, kwa upande wa kina mama she's absolutely presidential material.
Yupo serious sana.
Ukimfuatilia kwa karibu utamuona.
 
Sasa hao viongozi wa BAWACHA woote toja mikoani.
Wanaifuatilia hii kesi kila siku kwa gharama za nani?

Na ili iweje?

Kwamba hao wakitenguliwa ndio wateuliwe wao au?

Hii ni "tumbopolitics"
 
hii kesi itaisha wiki moja kabla ya Bunge kuvunjwa ili twende uchaguzi mkuu wa 2025 - cheza mbali na mfumo wa kijasusi wa CCM.
 
Chadema badala ya kupambania haki za watanzania, matokeo yake wako wanashitakiana na wabunge wao wanao wanaotetea maslahi ya chama Chao.

Nashauri chadema waachane na hii kesi matokeo yake wajikite kukijenga chama Chao.

Na Jao wabunge waache waendeleza na kazii Yao, na pia chama kiazimie kuwasamehe majembe hayo yachape kazii ILI chama kisongembele na kufanya mikakati minginee. Kushinda mahakamani na WANACHAMA wako hii haileti afyaa.

Chadema kutaneni na WANACHAMA wenu, Kisha sameheaneni na kumtambua hamtaongoza malaika wa mbinguni wasio na makosaa.

Futeni kesi zote mahakamani peaneno mikono, jengeni upya chama. Kumbukeni suluhisho la mapambano kama hayo Huwa hayanamshindi kamili. Niushauri wangu tuuu.

Asanteni
Hivi ni nani aliyeipeleka hii kesi mahakamani? (Nani aliyemshitaki mwenzake?) Pata kwanza majibu ya hilo swali halafu urudi kujadili.
 
Sasaa hiii mikesi yanini na huku ukijua fika hamnaa faida yoyotee
Ndugu, elewa kwamba walioipeleka hiyo kesi mahakamani ni hao Covid 19 ili kulinda ubunge wao. Hawa CHADEMA wanakwenda mahakamani kwa wito wa mahakama. Unata waigomee mahakama?
 
Kwenye hilo kundi namkubali sana Ester Bulaya, kwa upande wa kina mama she's absolutely presidential material.
Yupo serious sana.
Ukimfuatilia kwa karibu utamuona.
Wote wapo vizuri. Tatizo njaa haina adabu. Ujasiri wa kuvuka hapo hawajafikia, nikuambie kitu. Walipima upepo enzi zile za Magufuri kukaa bila ajila ya Bungeni shida, wakaona liwalo na liwe.... Hakuna aliejua kama awamu ya Magu itaisha miezi michache. Wangejua hilo wasingejiingiza kwenye kituko hiki
 
Chadema badala ya kupambania haki za watanzania, matokeo yake wako wanashitakiana na wabunge wao wanao wanaotetea maslahi ya chama Chao.

Nashauri chadema waachane na hii kesi matokeo yake wajikite kukijenga chama Chao.

Na Jao wabunge waache waendeleza na kazii Yao, na pia chama kiazimie kuwasamehe majembe hayo yachape kazii ILI chama kisongembele na kufanya mikakati minginee. Kushinda mahakamani na WANACHAMA wako hii haileti afyaa.

Chadema kutaneni na WANACHAMA wenu, Kisha sameheaneni na kumtambua hamtaongoza malaika wa mbinguni wasio na makosaa.

Futeni kesi zote mahakamani peaneno mikono, jengeni upya chama. Kumbukeni suluhisho la mapambano kama hayo Huwa hayanamshindi kamili. Niushauri wangu tuuu.

Asanteni
Chadema wataachana vipi na hii kesi wao ndiyo walioshitakiwa, nadhani hujafuatilia kilichopo hapo mahakamani.
 
Back
Top Bottom