Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Oct 27, 2022 #41 Ujamaa ni mhimu said: Kwahiyo WANACHAMA wako kwenye hiyo website ya chadema na ccm. Duuuuuh. Unasikitiaha kijanaa Click to expand... Utakuwa na utapia mlo, maana ya online registration/digital ni nini?
Ujamaa ni mhimu said: Kwahiyo WANACHAMA wako kwenye hiyo website ya chadema na ccm. Duuuuuh. Unasikitiaha kijanaa Click to expand... Utakuwa na utapia mlo, maana ya online registration/digital ni nini?
U Ujamaa ni mhimu JF-Expert Member Joined Sep 30, 2022 Posts 1,203 Reaction score 1,011 Oct 27, 2022 #42 afrikando said: Chadema wataachana vipi na hii kesi wao ndiyo walioshitakiwa, nadhani hujafuatilia kilichopo hapo mahakamani. Click to expand... Kwani wafukuze WANACHAMA halali wa CHAMA Chao. Hata kama ni wewe, zile mbwembwe na kejeli za kipindi kileee Kwa wamama waleee ungeridhika na maamuzi ya hao VIONGOZI.
afrikando said: Chadema wataachana vipi na hii kesi wao ndiyo walioshitakiwa, nadhani hujafuatilia kilichopo hapo mahakamani. Click to expand... Kwani wafukuze WANACHAMA halali wa CHAMA Chao. Hata kama ni wewe, zile mbwembwe na kejeli za kipindi kileee Kwa wamama waleee ungeridhika na maamuzi ya hao VIONGOZI.
U Ujamaa ni mhimu JF-Expert Member Joined Sep 30, 2022 Posts 1,203 Reaction score 1,011 Oct 27, 2022 #43 Bejamini Netanyahu said: Utakuwa na utapia mlo, maana ya online registration/digital ni nini? Click to expand... Tuoneshe ulioijaza wewe huko ccm na chadema. Onesha hiyo form ya maombi ya kujiunga huko ccm na chadema, pia tuleteee yakwako ulioijaza
Bejamini Netanyahu said: Utakuwa na utapia mlo, maana ya online registration/digital ni nini? Click to expand... Tuoneshe ulioijaza wewe huko ccm na chadema. Onesha hiyo form ya maombi ya kujiunga huko ccm na chadema, pia tuleteee yakwako ulioijaza
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Oct 27, 2022 #44 Ujamaa ni mhimu said: Tuoneshe ulioijaza wewe huko ccm na chadema. Onesha hiyo form ya maombi ya kujiunga huko ccm na chadema, pia tuleteee yakwako ulioijaza Click to expand... Jinga nini? unataka kujua taarifa zangu uniteke?
Ujamaa ni mhimu said: Tuoneshe ulioijaza wewe huko ccm na chadema. Onesha hiyo form ya maombi ya kujiunga huko ccm na chadema, pia tuleteee yakwako ulioijaza Click to expand... Jinga nini? unataka kujua taarifa zangu uniteke?