Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Baada ya tarehe 28 October, Tanzania hali ni shwari na yenye utulivu Watanzania tumemaliza Uchaguzi na Chadema wameshindwa Vibaya sana wamebaki kama Chauma.
Lissu nani alikudanganya kuwa utawaambia Watanzania Nendeni Barabarani nao watatoka. Washabiki wako wa mtandaoni wako Instagram wanapitia kurasa za Wasafi, wengine wanasema tutakosa hela za msaaada.
Yaani in short washakuacha peke yako kama unaweza kata tiketi ya Mapema. Tu CCM ni Watanzania, na Watanzania ni CCM
Lissu nani alikudanganya kuwa utawaambia Watanzania Nendeni Barabarani nao watatoka. Washabiki wako wa mtandaoni wako Instagram wanapitia kurasa za Wasafi, wengine wanasema tutakosa hela za msaaada.
Yaani in short washakuacha peke yako kama unaweza kata tiketi ya Mapema. Tu CCM ni Watanzania, na Watanzania ni CCM