Unatuletea katuni
Huo mkutano wa Itigi hautafanyika?Umeandika usichokijua
Dau litakuwa limepanda, buku 7 ya kitambo sana๐๐Lumumba buku 7 fc na chawa wanaona vumbi tu...Chadema inachanja mbuga..
Unaweza kuandika chochote lkn Lema & Heche hawana ubavu wa kumgeuka Mbowe.View attachment 3018158
Lissu na jeshi la makamanda wasioyumbishwa na yoyote Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.
Msigwa - amekataa rufaa uchaguzi uliojaa rushwa na uhuni uko Nyasa.
Heche - kaenguliwa ujumbe kamati kuu
Lema - kajitoa uchaguzi kumpisha kijana wa mwenyekiti
Makamanda wanazidi kuwasha moto mpaka dikteta aachie chama kiwe cha wote.
Tuambie unachokijua wwUmeandika usichokijua
Kwenye Ratiba Leo na kesho Lema yuko na Mbowe Tanga na Arusha ๐..hao walipaswa kwenda kufanya mikutano kanda na mikoa tofauti na Lissu.
Kumbe mleta mada anaendeshwa na posho za uchawa??Kwenye Ratiba Leo na kesho Lema yuko na Mbowe Tanga na Arusha ๐
Nakumbuka Magu alisemaga hiki chama kimekufa,akafa yeye