Pre GE2025 CHADEMA kuchere: Lema, Msigwa, Heche na Pambalu ndani ya jukwaa moja Singida kumuunga mkono Lissu

Pre GE2025 CHADEMA kuchere: Lema, Msigwa, Heche na Pambalu ndani ya jukwaa moja Singida kumuunga mkono Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye Ratiba Leo na kesho Lema yuko na Mbowe Tanga na Arusha 😂

..Askofu Machumu, Mwaipaya, Jumbe, Ole Sosopi, wanatosha kumsaidia Lissu ktk mikoa ya Singida, Morogoro, na Dodoma.

..Lissu akiingia Dodoma wanaweza kumuongeza Benson Kigaila kwasababu ni mwenyeji wa huko. Pia waliogombea Ubunge na udiwani wanaweza kuungana naye

..wakiingia Morogoro watu kama Susan Kiwango na wenzake wenyeji wa mkoa huo wanatakiwa kuwa ktk msafara.
 
Lissu na jeshi la makamanda wasioyumbishwa na yoyote Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.

Msigwa - amekataa rufaa uchaguzi uliojaa rushwa na uhuni uko Nyasa.
Heche - Kaenguliwa ujumbe kamati kuu
Lema - Kajitoa uchaguzi kumpisha kijana wa Mwenyekiti

Makamanda wanazidi kuwasha moto mpaka dikteta aachie chama kiwe cha wote.
Ujinga
 
Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.
Haya maneno yamenifanya nicheke.
Kwa vlle sikuwa nima angalia nani mleta mada, lakini nikijuwa nada kama hizi mara nyingi ni kutoka kwa rafiki yangu 'Erythro'; nikaanza kucheka hadi nilipo angalia na kukuta ni mkuu 'sonofobia' ndiye mwenye kejeli kama hizi.

Sasa rafiki yangu sijui ana lipi la kuongeza hapa!
 
Haya maneno yamenifanya nicheke.
Kwa vlle sikuwa nima angalia nani mleta mada, lakini nikijuwa nada kama hizi mara nyingi ni kutoka kwa rafiki yangu 'Erythro'; nikaanza kucheka hadi nilipo angalia na kukuta ni mkuu 'sonofobia' ndiye mwenye kejeli kama hizi.

Sasa rafiki yangu sijui ana lipi la kuongeza hapa!
Hali si shwari ndani ya nyumba.
 
Hali si shwari ndani ya nyumba.
Najuwa mkuu. Mimi hali hiyo nilianza kuisoma toka enzi za "maridhiano", halafu nikaja kuiimarisha na COVID-19.
Lakini hatuachi kuendelea kuwa na matumaini juu ya hawa; kwamba watayamaliza salama vya kutosha.
Kwani, kama si hawa, matumaini tuyapeleke kwa nani sasa?
 
..Askofu Machumu, Mwaipaya, Jumbe, Ole Sosopi, wanatosha kumsaidia Lissu ktk mikoa ya Singida, Morogoro, na Dodoma.

..Lissu akiingia Dodoma wanaweza kumuongeza Benson Kigaila kwasababu ni mwenyeji wa huko. Pia waliogombea Ubunge na udiwani wanaweza kuungana naye

..wakiingia Morogoro watu kama Susan Kiwango na wenzake wenyeji wa mkoa huo wanatakiwa kuwa ktk msafara.
Ole sosopi ni team mbowe hawezi kaa jukwaa moja la lissu
 
Unaweza kuandika chochote lkn Lema & Heche hawana ubavu wa kumgeuka Mbowe.
IMG_20240616_071035.jpg



Kwa nini unasema hivyo mkuu?
 
Lissu na jeshi la makamanda wasioyumbishwa na yoyote Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.

Msigwa - amekataa rufaa uchaguzi uliojaa rushwa na uhuni uko Nyasa.
Heche - Kaenguliwa ujumbe kamati kuu
Lema - Kajitoa uchaguzi kumpisha kijana wa Mwenyekiti

Makamanda wanazidi kuwasha moto mpaka dikteta aachie chama kiwe cha wote.
Acheni usanii ,Lema ni mjomba wake mzee Mbowe ,haitaka itokee Lema aache kuamini anachokiamini mzee Mbowe
 
Lema katumwa kusikiliza mipango yao. Wamfukuze arudi kwa kambi Mbowe. Ni kidudu mtu.

Mwenyekiti ni muhimu atoke kanda nyingine. Na hasa kanda ya kati au nyanja za juu kusini na buse versa is true.
Kama kuna wakati wa kurudisha hiki chama kwa watanzani ni sasa ,wakishindwa tu ,haitakaa itokee tena.
 
Hao hawamjui Mbowe na team yake wakigombea ubunge wanakata majina Yao wstafute chama kingine
 
Mwenyekiti ni muhimu atoke kanda nyingine. Na hasa kanda ya kati au nyanja za juu kusini na buse versa is true.
Mwenyekiti hawezi Toka sehemu yenye wanachama wachache wa Chadema lazima atoke sehemu yenye wanachama wengi na Makamu pia

Mwenyekiti atoke Kaskazini ,na Makamu atoke Kanda ya ziwa katibu atoke Nyasa

Kanda ya kati hamna kitu zaodi ya kelele za Lisu tu wanachama wachache sana
 
Mwenyekiti hawezi Toka sehemu yenye wanachama wachache wa Chadema lazima atoke sehemu yenye wanachama wengi na Makamu pia

Mwenyekiti atoke Kaskazini ,na Makamu atoke Kanda ya ziwa katibu atoke Nyasa

Kanda ya kati hamna kitu zaodi ya kelele za Lisu tu wanachama wachache sana
Unasema mwenyekiti lazima awe mchaga?
 
Back
Top Bottom