Pre GE2025 CHADEMA kuchere: Lema, Msigwa, Heche na Pambalu ndani ya jukwaa moja Singida kumuunga mkono Lissu

Pre GE2025 CHADEMA kuchere: Lema, Msigwa, Heche na Pambalu ndani ya jukwaa moja Singida kumuunga mkono Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lakini wachaga ndio idadi kubwa ya wanachadema
Tuanzie hapa:
1:Mwenyekiti ni Mzee Mbowe
2:Mrema :Kaoa kwenye ukoo wa akina mbowe
3: Lema anaegiza kuwa hataki cheo kwa sasa (zuga) ni binamu yake Mzee Mbowe.
4:James Mbowe ni mtoto wa kaka yake Mbowe
4:Malisa kaoa nyumba moja na Jemes Mbowe
6😀evota Minja(morogoro mjini) ni mtoto wa dada yake Mbowe
7:Soka yule kijana anaeshinda mitandaoni kutukana nae ni mtoto wa dada yake Mzee Mbowe
8: Halima mdee mama yake ni ukoo wa Lema

Yaani hiki chama kinatia aibu
 
Tuanzie hapa:
1:Mwenyekiti ni Mzee Mbowe
2:Mrema :Kaoa kwenye ukoo wa akina mbowe
3: Lema anaegiza kuwa hataki cheo kwa sasa (zuga) ni binamu yake Mzee Mbowe.
4:James Mbowe ni mtoto wa kaka yake Mbowe
4:Malisa kaoa nyumba moja na Jemes Mbowe
6😀evota Minja(morogoro mjini) ni mtoto wa dada yake Mbowe
7:Soka yule kijana anaeshinda mitandaoni kutukana nae ni mtoto wa dada yake Mzee Mbowe
8: Halima mdee mama yake ni ukoo wa Lema

Yaani hiki chama kinatia aibu
Duh
 
Back
Top Bottom