Kwenye Ratiba Leo na kesho Lema yuko na Mbowe Tanga na Arusha 😂
UjingaLissu na jeshi la makamanda wasioyumbishwa na yoyote Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.
Msigwa - amekataa rufaa uchaguzi uliojaa rushwa na uhuni uko Nyasa.
Heche - Kaenguliwa ujumbe kamati kuu
Lema - Kajitoa uchaguzi kumpisha kijana wa Mwenyekiti
Makamanda wanazidi kuwasha moto mpaka dikteta aachie chama kiwe cha wote.
Wameamua kutuma ujmbe kupitia njia hiyo...hao walipaswa kwenda kufanya mikutano kanda na mikoa tofauti na Lissu.
Haya maneno yamenifanya nicheke.Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.
Hali si shwari ndani ya nyumba.Haya maneno yamenifanya nicheke.
Kwa vlle sikuwa nima angalia nani mleta mada, lakini nikijuwa nada kama hizi mara nyingi ni kutoka kwa rafiki yangu 'Erythro'; nikaanza kucheka hadi nilipo angalia na kukuta ni mkuu 'sonofobia' ndiye mwenye kejeli kama hizi.
Sasa rafiki yangu sijui ana lipi la kuongeza hapa!
Najuwa mkuu. Mimi hali hiyo nilianza kuisoma toka enzi za "maridhiano", halafu nikaja kuiimarisha na COVID-19.Hali si shwari ndani ya nyumba.
Ole sosopi ni team mbowe hawezi kaa jukwaa moja la lissu..Askofu Machumu, Mwaipaya, Jumbe, Ole Sosopi, wanatosha kumsaidia Lissu ktk mikoa ya Singida, Morogoro, na Dodoma.
..Lissu akiingia Dodoma wanaweza kumuongeza Benson Kigaila kwasababu ni mwenyeji wa huko. Pia waliogombea Ubunge na udiwani wanaweza kuungana naye
..wakiingia Morogoro watu kama Susan Kiwango na wenzake wenyeji wa mkoa huo wanatakiwa kuwa ktk msafara.
Kakosea wapi kwa hao sio chadema!Umeandika usichokijua
🚮 🚮 🚮
Acheni usanii ,Lema ni mjomba wake mzee Mbowe ,haitaka itokee Lema aache kuamini anachokiamini mzee MboweLissu na jeshi la makamanda wasioyumbishwa na yoyote Lema, Msigwa na Heche watakuwa jukwaa moja wakigaragaza waramba asali uko Singida.
Msigwa - amekataa rufaa uchaguzi uliojaa rushwa na uhuni uko Nyasa.
Heche - Kaenguliwa ujumbe kamati kuu
Lema - Kajitoa uchaguzi kumpisha kijana wa Mwenyekiti
Makamanda wanazidi kuwasha moto mpaka dikteta aachie chama kiwe cha wote.
Kama kuna wakati wa kurudisha hiki chama kwa watanzani ni sasa ,wakishindwa tu ,haitakaa itokee tena.Lema katumwa kusikiliza mipango yao. Wamfukuze arudi kwa kambi Mbowe. Ni kidudu mtu.
Mwenyekiti ni muhimu atoke kanda nyingine. Na hasa kanda ya kati au nyanja za juu kusini na buse versa is true.
Mwenyekiti hawezi Toka sehemu yenye wanachama wachache wa Chadema lazima atoke sehemu yenye wanachama wengi na Makamu piaMwenyekiti ni muhimu atoke kanda nyingine. Na hasa kanda ya kati au nyanja za juu kusini na buse versa is true.
Kama ni Hivyo Lisu tapeli anatumia picha za Watu bila ridhaa Yao kutapeli wananchi kuwa Lema atakuwepoKwenye Ratiba Leo na kesho Lema yuko na Mbowe Tanga na Arusha 😂
Lissu atamuangusha mbowe mapema sana,Lissu anaaminiwa sana na wafuasi wa kweli wa chadema.
Lissu kuvuta watu kwenye mkutano wake anahitaji uwepo wa lema?Kama ni Hivyo Lisu tapeli anatumia picha za Watu bila ridhaa Yao kutapeli wananchi kuwa Lema atakuwepo
Unasema mwenyekiti lazima awe mchaga?Mwenyekiti hawezi Toka sehemu yenye wanachama wachache wa Chadema lazima atoke sehemu yenye wanachama wengi na Makamu pia
Mwenyekiti atoke Kaskazini ,na Makamu atoke Kanda ya ziwa katibu atoke Nyasa
Kanda ya kati hamna kitu zaodi ya kelele za Lisu tu wanachama wachache sana