Ha ha ha! Hizo rangi noma sana hasa hiyo violet iliyojitokeza chini ya mkoti wa kijani.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha! Hizo rangi noma sana hasa hiyo violet iliyojitokeza chini ya mkoti wa kijani.
Acha hasiraWw ni mjinga kwani uliitisha kongamano la Katiba walikwambia uache
Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu. Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa
Hujui usemalo ndugu..Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu. Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Ukiona mtu anaanzisha uzi halafu anashindwa kujibu vizuri maswali kuhusu uzi wake ujue huyo ni ndezi tu.Acha hasira
Hapo dogo ulitaka nijibu nini?Ukiona mtu anaanzisha uzi halafu anashindwa kujibu vizuri maswali kuhusu uzi wake ujue huyo ni ndezi tu.
Hongera MkuMimi nilichangia Katiba Ibainishe Haki za Mzawa!
Kama Katiba ya India ilivyo bainisha kwamba India Is For PURE Indians!
Huko nyuma vyama vya upinzani viliungana kudai katiba mpya na tume huru.Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu. Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Huyo jamaa mwenye miguo ya kijani amevaa shumizi ya "zambarau"!😂😂😂😂Lipumba na CUF wanataka katiba mpya sasa. Mbatia na NCCR wanataka katiba mpya sasa. Watanzania kwa mujibu wa twaweza 2017 hawa hapa:
TWAWEZA: Katika Watanzania watatu, Wawili wanataka Katiba Mpya
Kwani huwajui wanaohaha kuichelewesha katiba mpya? Ni hawa hapa:
View attachment 2168494
Ila hawataweza.
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Huu ujumbe una maana gani?Huyo jamaa mwenye miguo ya kijani amevaa shumizi ya "zambarau"!😂😂😂😂
Amembeba mtoto/rafiki/partner in crimes/komredi mwenzie wa ukanjanja kwa kificho wanaenda kutimiza uhalifu dhidi ya matakwa ya demokrasia nchini Tanzania.Wigwa?Huu ujumbe una maana gani?
Acha zako.Amembeba mtoto/rafiki/partner in crimes/komredi mwenzie wa ukanjanja kwa kificho wanaenda kutimiza uhalifu dhidi ya matakwa ya demokrasia nchini Tanzania.Wigwa?
Braza, kwani KATIBA ni nini?Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu. Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Fundametal law of the state.Braza, kwani KATIBA ni nini?
Wallah tena!Acha zako.
Vuguvugu la kudai katiba mpya sio mali ya Chadema.Wallah tena!
Huko nyuma vyama vya upinzani viliungana kudai katiba mpya na tume huru.Hivi karibuni baadhi ya vyama vimeungana na ccm kuanza na tume huru na baadae katiba mpya isipokuwa chadema .Nani kakuambia katiba mpya si ya wananchi bali ya chadema? Au waona wivu wengi wanavyounga msimamo wa chadema? Kwani lazima katiba mpya ikipitishwa chadema watashika dola? Hata wakishika dola yatakuwa MAAMUZI ya wenyekatiba
Vuguvugu la kudai katiba mpya sio mali ya Chadema.
Ni hisia tu zinawatuma mlio against CDM kuona hivyo.Vuguvugu la kudai katiba mpya sio mali ya Chadema.