Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Calm down young sister, discuss mustakabari wa taifa lako kwa akili
CDM wanadai katiba mpya maana ndani yake ina madai yote ya wananchi.
Isitoshe hao unaoita wananchi hawawezi kudai haki zao mpaka wasubiri cdm wawasaidie kudai?
Katiba inayodaiwa na cdm itatoa nafasi ya madai ya wananchi kifanyiwa kazi na hayatasubiri hisani ccm.