Viongozi na wanachama wa CCM hawataki katiba mpya ili waendelee kupeana vyeo kama zawadiChadema wanataka katiba ili wapate vyeo waanze ulafi wa Mali za wananchi, huwasikii wanaongelea mwananchi wa kawaida
Mbona unaonesha wivu wa kifikra! Kuna aliyekatazwa kushikia bango, kuwa chawa na kiherere wa Katiba Mpya?Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu.
Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Walaji wa mali za wananchi hauwafahamu hadi leo?Tujuacho ni kuwa walaji wazoefu ndio hao wasiotaka katiba mpya na CHADEMA hawajawahi kula mali za wananchi.Chadema wanataka katiba ili wapate vyeo waanze ulafi wa Mali za wananchi, huwasikii wanaongelea mwananchi wa kawaida
Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu.
Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Lipumba na CUF wanataka katiba mpya sasa.
Mbatia na NCCR wanataka katiba mpya sasa.
Watanzania kwa mujibu wa twaweza 2017 hawa hapa:
TWAWEZA: Katika Watanzania watatu, Wawili wanataka Katiba Mpya
Kwani huwajui wanaohaha kuichelewesha katiba mpya? Ni hawa hapa:
View attachment 2168494
Ila hawataweza.
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Usilete theories zako hapa!!
View attachment 2168530
Ccm wanachoogopa ni hiki hapa:Ccm ni janga la Taifa, huu upuuzi unapatikana Lumumba tu.
Unawezaje kutetea wakulima na walimu wakati katiba inampa mamlaka Raise kumdhuru Kila atakae inua mdomo kuisema vibaya serikali!!!.
Ccm wapo Bungeni umesikia hata mmoja ameongelea kupanda kwa bei za bidhaa??,
Chadema wakidai katiba ccm mdai haki za raia na unafuu wa maisha na ndugu yenu Act adai tume HURU.
Tatizo siku hizi chadema hawana akili na kwa jinsi wanavyojifanya kuhodhi madai hayo katiba ndo wanatuharibia hatutapata hii katiba
Chadema wamekuwa watu wa ajabu Sana walikuja na agenda ya ufisadi wananchi wakawaelewa kisha wakawasaliti
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu.
Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
We ni jingaUkweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu.
Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwa nini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe,waalimu,wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Unataka kusema mpaka watanzania wavae matisheti ya Chadema na kuuza sura ndio mjue wako tayari kudai katiba mpya? Ndio maana mnajipiga kifua kuwa katiba mpya ni hoja yenu?
Hiyo ni wakati ule hajahasiwa akili na kisiasa.Huyu jamaa yeye na wanaomfahamu hawawezi kumtambua leo kuwa ni mtu yule yule au huyu wa sasa siyo yeye.Ccm wanachoogopa ni hiki hapa:
Wanazuoni si watu wa kuamini sana..
Kwani maoni yaliyokusanywa na TUME ya Warioba yalikuwa ni ya nani? Nyie ndio mwaogopa maoni ya wananchi.Chadema wanataka katiba ili wapate vyeo waanze ulafi wa Mali za wananchi, huwasikii wanaongelea mwananchi wa kawaida.
Wewe umezuiwa? Hoja mufilisi hii.Ukweli ndio huu. Maana wanataka kuonyesha umma kuwa mpambano wa kudai katiba mpya ni wao tu.
Na kwa mantiki hii inakuwa inaonyesha kuwa wanataka katiba mpya ili wapate madaraka tu na wala sio kwa ajili ya watanzania wote.
Kwanini hatusikii juhudi zao kuwapigia debe, waalimu, wakulima na wavuvi juu ya kuwa na katiba mpya itakayonufaisha makundi kama haya?
Wao ni juu ya kupata tume huru na mkakati wa kupata wabunge ili waweze kupata mkwanja wa kuendesha chama.
Hii inasababisha mchakato wa kudai katiba mpya kutokupata sapoti ya makundi yote hasa yasiyo na utashi wa kisiasa.
Mungu ndie Aliye Weka Taifa, Kabila, Lungha na Rangi!Hongera Mku
Professor Shivji amenena vema kuwa wanasiasa wanapenda madaraka na huwakemea wengine kuingia kwenye siasa na madaraka.Pia ninauhakika kuwa Wanazuoni walistahili kutushauri zaidi ili wananchi na wanasiasa wasivurugane kupitia Katiba bora.Hatutakiwi kuogopa kuandika katiba yetu kwa sababu za wengine walioandika katiba zao na kukumbana na changamoto.
Siyo wote.Wanazuoni si watu wa kuamini sana..
Kwa sababu ya njaa akili zao zimo tumboni🙄
Sasa mbona umeing'ang'ania Cdm, au huelewi unapinga nini?Fundametal law of the state.