Pre GE2025 CHADEMA kujadili Rufaa ya Msigwa hivi karibuni, Matokeo yake yatatolewa kwa vyombo vya habari

Pre GE2025 CHADEMA kujadili Rufaa ya Msigwa hivi karibuni, Matokeo yake yatatolewa kwa vyombo vya habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hamtaki rufaa ijadiliwe?
Ina manufaa gani kwa sasa wakati kila kitu kipo wazi? Zaidi mnaandaa maokoto na kupata fursa ya kumsafisha mwenyekiti mbele ya Umma.
Kwa upande wangu naona ni mwendelezo wa vichekesho za vyama upinzani bongo.
 
Ina manufaa gani kwa sasa wakati kila kitu kipo wazi? Zaidi mnaandaa maokoto na kupata fursa ya kumsafisha mwenyekiti mbele ya Umma.
Kwa upande wangu naona ni mwendelezo wa vichekesho za vyama upinzani bongo.
Kwenye Sheria haki ya kila mtu lazima izingatiwe, waliotuhumiwa wana haki ya kujitetea
 
Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.

Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.

Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.

Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.

Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Upuuzi mpaka kaondoka kuna tofauti gani na bunge la tulia!
 
Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.

Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.

Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.

Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.

Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Mjadili ili iweje?
Acheni kuwafanya watu hamnazo
Kusafisha chama au kusafisha mtu?
Nyie haya tu!
 
Kwenye Sheria haki ya kila mtu lazima izingatiwe, waliotuhumiwa wana haki ya kujitetea
Hivi hicho chama huwa kinaheshimu sheria na haki za haki za watu?
Huwa na kuelewa kwa sababu unapigania kibarua chako ambayo ndo kula yako na familia yako. Ni jembo jema sana
 
Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.

Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.

Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.

Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.

Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Unaweweseka si mchezo Erythrocyte leo hii
 
Back
Top Bottom