CHADEMA kujazana mahakamani ili kurekodi mwenendo wa kesi kwa lengo la kupotosha jamii na kutengeneza chuki dhidi ya mahakama siyo sawa

Nakunaliana na wewe ila sidhani kama alichofanya bwana Nyendo (!) NI KUSUDI NA NI HATARI
Sioni hatari yoyote maana hajaongeza maneno yoyote kwenye mwenendo zaidi ya sehemu kidogo kama hiyo kutojumuishwa. Binafsi niliuhitaji Sana huo ushahidi na Kwa vile Jana sikwenda mahakamani niliusaka na kuupata kirahisi tu. Soni cha maana cha kumconvict Mbowe Kwa mawasiliano yasiyoanika chochote. Au unadhani Urio kusema usitumie namba yako ndo Ugaidi?
 
Sasa kama huna taarifa sahihi na zilizokamalika kwa wakati,hoja yako inasimamia miguu ipi? Sababu hilo ni jukumu lako kama mleta mada
Mkuu inaelekea ndo unaamka- HABARI YA ASUBUHI
 
Sioni hatari yoyote maana hajaongeza maneno yoyote kwenye mwenendo zaidi ya sehemu kidogo kama hiyo kutojumuishwa. Binafsi niliuhitaji Sana huo ushahidi na Kwa vile Jana sikwenda mahakamani niliusaka na kuupata kirahisi tu. Soni cha maana cha kumconvict Mbowe Kwa mawasiliano yasiyoanika chochote. Au unadhani Urio kusema usitumie namba yako ndo Ugaidi?
 
Kuna neno gani baya sasa hapo? Mi nilijua labda wanajadili kumuua mtu... lakin nitumie nauli 🙄
 
Kuna neno gani baya sasa hapo? Mi nilijua labda wanajadili kumuua mtu... lakin nitumie nauli 🙄
Sioni hatari yoyote maana hajaongeza maneno yoyote kwenye mwenendo zaidi ya sehemu kidogo kama hiyo kutojumuishwa. Binafsi niliuhitaji Sana huo ushahidi na Kwa vile Jana sikwenda mahakamani niliusaka na kuupata kirahisi tu. Soni cha maana cha kumconvict Mbowe Kwa mawasiliano yasiyoanika chochote. Au unadhani Urio kusema usitumie namba yako ndo Ugaidi?
 
Ahsante kwa taarifa...
Jamaa wapotoshaji sana hawa- tazama wanavyojitetea
Sioni hatari yoyote maana hajaongeza maneno yoyote kwenye mwenendo zaidi ya sehemu kidogo kama hiyo kutojumuishwa. Binafsi niliuhitaji Sana huo ushahidi na Kwa vile Jana sikwenda mahakamani niliusaka na kuupata kirahisi tu. Soni cha maana cha kumconvict Mbowe Kwa mawasiliano yasiyoanika chochote. Au unadhani Urio kusema usitumie namba yako ndo Ugaidi?
 
Kwa vile Nape karudi Habari tumuombe aiOmbe mahakama kesi iwe live TBC- NATOA HOJA
CCM haijawahi kukubali kuwa live kwenye Mambo yanayoivua nguo kama hii kesi ya Mchongo. Hii kesi imelidhalilisha mno Jeshi la Polisi ambalo siku hizi ndo mkono wa kuume wa CCM.
 
Sasa mtu anasema ameamua kutuajiri kabisa na mshahara kila mwezi..kuna ugaidi gani hapo?
 
CCM haijawahi kukubali kuwa live kwenye Mambo yanayoivua nguo kama hii kesi ya Mchongo. Hii kesi imelidhalilisha mno Jeshi la Polisi ambalo siku hizi ndo mkono wa kuume wa CCM.
Mkuu naomba link ya jana yaliojiri mahakamani tafadhari
 
CCM haijawahi kukubali kuwa live kwenye Mambo yanayoivua nguo kama hii kesi ya Mchongo. Hii kesi imelidhalilisha mno Jeshi la Polisi ambalo siku hizi ndo mkono wa kuume wa CCM.
Mkuu mie naona baada ya kuona Kibatala hawezi kushida kesi mlichoamua ni-
1. chafua polisi;
2. giribu jamii kwa kuwapa taarifa ambazo siyo kamili au za upande wa Mbowe tu
3. chafua mahakama kupitia huu mnaouita MCHONGO na mashahidi kama yule LEMBURUSI (!?)
Ila haya yote hayasaidii- Mahamani usiende kujibu ushahidi wewe peleka ushahidi dhidi ya ushahidi
mahakamani usiende kusahihisha ushahidi- wewe peleka ushahidi wa kukuokoa wewe
 
Purely Rubbish..Hakuna Ushahidi Hapo..
Yaani ukisoma utaona ni kusumbua mahakama. Ukisoma hayo maelezo ya yalidukuliwa kwenye hizo simu utaona mbowe hakuna mahali amehamasisha watu au jamii kufanyafujo au kuwatuma kuvunja sheria.

Kutafuta kibarua ni Jambo la kawaida. Mbowe alikuwa anatafuta watu afanye nao kazi. Hii kesi waliiemdea kichwa kichwa kwa kumhisi mbowe angeweza kufanya uhalifu. Na Kama angekuwa na nia mbaya asingewasiliana na urio ambayo yuko serikalini.
 
Mkuu tuwe waungwana kidogo basi- yaani mleta update anaweza kutuandika shahidi anajiumauma ILA anashindwa kutuandikia alichosoma shahidi baada ya vielelezo kupokelewa. BASI NI MTU VERY ILLOGICAL
 
Inaonekana mwenzetu, ama masikio yana shida au uelewa wako unaishia karibu sana.

Hizo msg ndizo zinazomsafisha Mbowe. Msg zinasema wataajiriwa kabisa, ataambatana nao kwenye misafara yake. Sasa hapo kuna uthibitisho wa ugaidi? Huyo amekuja kumsafisha Mbowe badala ya kumtia kwenye hizo hatia za kutengenezwa.
 
Mkuu sasa nini sababu ya kutoziweka kwenye updates?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…