Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
NdiyoNa unaona ni sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoNa unaona ni sawa?
Sijaelewa kabisa bwashee!
Mfungeni labda tutapata madawa, maji safi, bei nzuri za mazao, umeme wa uhakika, na mbolea kwa bei nafuu. Huyu FAM ametuchelewesha sanaMbona mwandishi anarukaru. Hii hapa iko mwananchi ila hapa hamna
Taarifa ya Uchunguzi:
Kwanza ushahidi haupo!Mkuu sisi tunafatilia tu mwenendo wala siyo kazi yetu kuhukumu ILA tunalohoji ni kwa nini huyo msamalia mwena aliyejitolea kuacha kazi ya kutafuta riziki atumpe mwenendo nusu nusu?! Lengo lake ni nini? Kwa maoni yangu lengo ni kuyumbisha mtazamo wa jamii kuwa upande wa mashitaka hauna ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake
Tukipata taarifa tofauti tunapata nafasi ya kulinganisha na tumegundua nyie CHADEMA hamleti kwa ukamilifu na lengo lenu niKwanza ushahidi haupo!
Pili hii kesi ni tuition tosha kwa watumiaji wa mitandao ya simu.
Tatu, utofauti wa taarifa unakuwa mkubwa kadri watoa taarifa wanavokuwa wengi. Na zingatia kuwa ripotaz hatuwajawapa ToRs.
Rejea vitabu vya Injili ya Yesu. Utaona matukio na mazingira yale yale yameelezwa kwa namna tofauti.
Mbowe si wa kwanza kufungwa kwani hata juzi 5000 wamesamehewa kwa hiyo jela zipo na watu wako hukoMfungeni labda tutapata madawa, maji safi, bei nzuri za mazao, umeme wa uhakika, na mbolea kwa bei nafuu. Huyu FAM ametuchelewesha sana
Kama rubbish hufunga mtu, basi hatuna mahakama ila baraza la CCM.Mkuu rubbish ndizo hufunga watu- OH atafungwa Mbowe shauri yenu
Mwendazake mlimuoneshaga kwani??Tukipata taarifa tofauti tunapata nafasi ya kulinganisha na tumegundua nyie CHADEMA hamleti kwa ukamilifu na lengo lenu ni
1. kupotosha jamii
2. kupata huruma ya jamii
3. kuonyesha Mbowe anaonewa na hakuna ushahidi kabisa kwa vile ule unaomgusa mnautoa kwa visingizio kama hivi ulivyoleta
4. mnataka hukumu ikitolewa muanze oh hukumu michongo
Ukitaka marehemu atambuliwe kwa uhakaika na bila mashaka onyesha mwili mzima na siyo miguu
Siyo mkono wa kuume tu, bali ndio sanduku lao la kura. Kwa Sasa CCM hawawezi kushinda uchaguzi wowote kwa kutegemea sanduku la kura halisi, sanduku lao la kura ni TISS na Polisi.CCM haijawahi kukubali kuwa live kwenye Mambo yanayoivua nguo kama hii kesi ya Mchongo. Hii kesi imelidhalilisha mno Jeshi la Polisi ambalo siku hizi ndo mkono wa kuume wa CCM.
Yaani namshangaa huyu Mgalilaya anayeona kuna la maana ndani ya hizo msg.Sasa mtu anasema ameamua kutuajiri kabisa na mshahara kila mwezi..kuna ugaidi gani hapo?
Hapa ndo imeonesha akili yako ya siku zote. Akili za kibusara ilizoanza nazo asubuhi hazikuwa halisi. Kwa akili yako unategemea Mbowe aajiri mlinzi kiholela Kwa kutangaza nafsi ya Ajira kwenye gazeti la serikali?Sikujua- na yaho ndiyo madhara ya kutaka kuishi Kidola wakati huna dola
Kilaza ktk ubora wakoMbona mwandishi anarukaru. Hii hapa iko mwananchi ila hapa hamna
Taarifa ya Uchunguzi:
Ila njia halali kwake ni kwenda jeshini ( serikali) kutumia mwanajeshi (serikali) atafutiwe wastaafu wa jeshi ( serikali) kupata walinzi? Halafu unatuambia hapa Mbowe hawezi kutumia serikali- Mkuu tuheshimu basi kidogo au kama hutaki kutuheshimu heshimu basi JFHapa ndo imeonesha akili yako ya siku zote. Akili za kibusara ilizoanza nazo asubuhi hazikuwa halisi. Kwa akili yako unategemea Mbowe aajiri mlinzi kiholela Kwa kutangaza nafsi ya Ajira kwenye gazeti la serikali?
Kama zilisomwa mahakamani na kusikilizwa na wahudhuriaji wote zimefichwaje? Nani mwenye jukumu la kuziweka kwenye media?Kama hakuna la maana mbona mnazificha tusizione?