Pre GE2025 CHADEMA kujifungia kwa saa 48 kujadili Azimio la Mtwara

Pre GE2025 CHADEMA kujifungia kwa saa 48 kujadili Azimio la Mtwara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TATHMINI YA MAANDAMANO NI ZERO HAKUNA KILICHOBADIRIKA , YAAANI YALE YALIKUWA MAANDAMANO AU MATEMBEZI TU? NANI ATAKUSIKILIZ AKWA MAANDAMANO YA AINA HIYO BIL AHATA MABOMU VURUGU NA KILA AINA YA FUJO NANI ANAKUSKILIZA NDIYO MANA MAMA KAWAJIBU KAWAAMBIA TUNAWAACHA WAANDAMANE NA ULIZNI TUNA WAPA WAKMALIZA KUTEMBEA WAKAE WAHUTUBIANE KISHA WASAMBAE MAKWAO KWISHA KAZI

Kwa hiyo unataka wakiandamana wachome hayo ma V8 yenu moto ndo mchukue hatua?
 
TATHMINI YA MAANDAMANO NI ZERO HAKUNA KILICHOBADIRIKA , YAAANI YALE YALIKUWA MAANDAMANO AU MATEMBEZI TU? NANI ATAKUSIKILIZ AKWA MAANDAMANO YA AINA HIYO BIL AHATA MABOMU VURUGU NA KILA AINA YA FUJO NANI ANAKUSKILIZA NDIYO MANA MAMA KAWAJIBU KAWAAMBIA TUNAWAACHA WAANDAMANE NA ULIZNI TUNA WAPA WAKMALIZA KUTEMBEA WAKAE WAHUTUBIANE KISHA WASAMBAE MAKWAO KWISHA KAZI
Ulitaka mabadiliko yaje saa hiyo hiyo uko kichwani una akili au togwa?.Yale ni maandamano ya amani na lengo ni kujenga awarenes kwa wananchi na serikali kwa hoja zilizokua zimekusudiwa.sasa kama hayakuleta mabadiliko sio wewe wakusema bali muda ndio utakao ongea.Ukiwa na akili ndogo huwezi kuona mabadiliko ila subiri muda utakuonyesha kilichobadilika wewe endelea kukariri.
 
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kujifungia kwa siku mbili kuanzia leo kuandaa Azimio la Mtwara la kushiriki au kutokushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu.
Chadema ikishiriki uchaguzi kwa tume hii itakuwa ni kubariki mikakati ya ukandamizaji wa haki za kuchagua na kuchaguliwa inayoandakiwa na huyu mama.

Kama kweli anataka 4R kwann hataki katiba mpya itayozaa tume huru ya uchaguzi? Samia is a ruthless dictator in a smiling face.
 
Back
Top Bottom