kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Nenda nawe kaibe!mnawang'ang'ania WAKURUGENZI ili waibe hizo hizo kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda nawe kaibe!mnawang'ang'ania WAKURUGENZI ili waibe hizo hizo kura
Ndio nini mimi mgeni!ILa kushinda wanabet kuna tija?
TATHMINI YA MAANDAMANO NI ZERO HAKUNA KILICHOBADIRIKA , YAAANI YALE YALIKUWA MAANDAMANO AU MATEMBEZI TU? NANI ATAKUSIKILIZ AKWA MAANDAMANO YA AINA HIYO BIL AHATA MABOMU VURUGU NA KILA AINA YA FUJO NANI ANAKUSKILIZA NDIYO MANA MAMA KAWAJIBU KAWAAMBIA TUNAWAACHA WAANDAMANE NA ULIZNI TUNA WAPA WAKMALIZA KUTEMBEA WAKAE WAHUTUBIANE KISHA WASAMBAE MAKWAO KWISHA KAZI
Hicho kilimo pelekeni wazee wa CCM kinawafaa.Waje na tamko vijana wote waende kwenye kilimo kuliko kupoteza muda na maandamano yasiyo na tija!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waje na tamko vijana wote waende kwenye kilimo kuliko kupoteza muda na maandamano yasiyo na tija!
Wazee wa ccm ndio wanawaongoza!Hicho kilimo pelekeni wazee wa CCM kinawafaa.
Wangeongeza panga na mbegumbeguKilimo waende wa MACHAWA wa LUMUMBA hata Bendera yenu ina JEMBE na SHOKA
Ulitaka mabadiliko yaje saa hiyo hiyo uko kichwani una akili au togwa?.Yale ni maandamano ya amani na lengo ni kujenga awarenes kwa wananchi na serikali kwa hoja zilizokua zimekusudiwa.sasa kama hayakuleta mabadiliko sio wewe wakusema bali muda ndio utakao ongea.Ukiwa na akili ndogo huwezi kuona mabadiliko ila subiri muda utakuonyesha kilichobadilika wewe endelea kukariri.TATHMINI YA MAANDAMANO NI ZERO HAKUNA KILICHOBADIRIKA , YAAANI YALE YALIKUWA MAANDAMANO AU MATEMBEZI TU? NANI ATAKUSIKILIZ AKWA MAANDAMANO YA AINA HIYO BIL AHATA MABOMU VURUGU NA KILA AINA YA FUJO NANI ANAKUSKILIZA NDIYO MANA MAMA KAWAJIBU KAWAAMBIA TUNAWAACHA WAANDAMANE NA ULIZNI TUNA WAPA WAKMALIZA KUTEMBEA WAKAE WAHUTUBIANE KISHA WASAMBAE MAKWAO KWISHA KAZI
HahahahahTUPO TIYARI KUZILINDA KURA ZETU KWA JASHO NA DAMU
Chadema ikishiriki uchaguzi kwa tume hii itakuwa ni kubariki mikakati ya ukandamizaji wa haki za kuchagua na kuchaguliwa inayoandakiwa na huyu mama.Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kujifungia kwa siku mbili kuanzia leo kuandaa Azimio la Mtwara la kushiriki au kutokushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu.