Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Acha iendelee kuishi… ili ione maendeleo yetu hatua Kwa hatuaUnaambiwa na nani, kama mzee wa tiisiidiii sawa, kwani wengine mnatamani kuona chadema ikikata roho🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha iendelee kuishi… ili ione maendeleo yetu hatua Kwa hatuaUnaambiwa na nani, kama mzee wa tiisiidiii sawa, kwani wengine mnatamani kuona chadema ikikata roho🤔
Huo binjuko si wa kubanjuana huo ama mimi ndio sielewi?Ilikuaje jamaa akakaa mkao huo!!!!!
Maendeleo yenu au kuvurunda kwenu na kuwarekebisheni🤔Acha iendelee kuishi… ili ione maendeleo yetu hatua Kwa hatua
Maendeleo ya TanzaniaMaendeleo yenu au kuvurunda kwenu na kuwarekebisheni🤔
Mdee siyo demu halafu ni mzeeVipi kuhusu hela zetu walipa kodi wanazohongwa akina Mdee? Ila kademu kazuri, wakaache
Hajatumika, kama unajua unajuaMdee siyo demu halafu ni mzee
Yeye huwatumia wenzake kama unajua utajuaHajatumika, kama unajua unajua
Hakuna mkate mgumu kwa chaiYeye huwatumia wenzake kama unajua utajua
Nyie ndio werevu sio?View attachment 2137043
Kwanza watuambie kuwa wanakubali uchaguzi ulikuwa ni huru na haki
Aliyekuambia akuwekee na ushahidi basiNaambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!
hivi kwanini mnyika haendi mahakamani kumshitaki aliyefoji sahihi yake kwenye yale majina 19?anaonekana kama kuna mchongo katiyake na waoAliyekuambia akuwekee na ushahidi basi
Haukuwa huru, wa wazi , Wala wa haki na kwa katiba hii chini ya wanakijani 🤸Kwanza watuambie kuwa wanakubali uchaguzi ulikuwa ni huru na haki
Acha wapokee hakuna shidaKwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kipo njiani kupigilia msumari maamuzi ya kuwatimua uanachama akina Mdee na wenzake, Kisha kupeleka wabunge wengine wa viti maalumu bungeni.
Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za Kitanzania kutoka hazina
Source: Raia Mwema
Wanaona wivu kupata haki yetu?Acha wapokee hakuna shida
Wapokee tu hakuna namnaWanaona wivu kupata haki yetu?
Jitahidi ukathibitishe kwanza, ili uepuke kuwa mmbeaNaambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!