Elections 2010 CHADEMA kuleta hoja ya kumuondoa Kikwete madarakani

Elections 2010 CHADEMA kuleta hoja ya kumuondoa Kikwete madarakani

wanapoteza muda, waachane na ndoto hizi. Wajipange kukabiliana na serikali katika utendaji wake.
 
Mleta hoja ni mufilisi,hana jipya.Fanya kazi udumishe kipato chako achana na ndoto za abunuwasi kwani haitatokea ata siku moja wewe kuwa rais never ever!
Ndio matatizo ya kudandia train kwa mbele hayo, hujaelewa hoja wakurupuka kuchangia, ninamashaka sana na upeo wako wa uelewa wa mambo.
 
Kinacho niuzi ni jinsi CUF walivyodanganyika, embu angali Seif kadanganywa na u makamu wa rais huu ni uchu wa madaraka na sio upinzani sas yeye ni mtumishi wa serikali ya CCM lazima aitete serikali na sio wananchi sasa maanake nini? Asinge kubali angebakia kwenye upinzani wana wabunge wa kutosha Zanzibar upinzani halisi ungeanzia bungeni. Sasa hivi yupo kwenye magari ya serikali tuangalie kama atawaona wana CUF au ndio kesha jiunga na CCM kinyemela
Kwani hilo wewe unalitambua leo kaka? Huyo ni uchu tu wa madaraka ndio ulokuwa unamsumbua na mwenzake lipumba hawana cha uchungu wa nchi wala wananchi. wanafiki wakubwa.
 
CHADEMA peleka hoja mjengoni, mwanzo wa mvua ni mawingu. Kuanguka kwa mti ni kungoka kwa mizizi. Mwisho wake uteleweka tuu!
 
Huu mtafaruku unaokuja wa yale unayoona yameanza bungeni sisiemu na associates (tlp, udp, nccr,cuf+...) hawataweza kumudu-tayari wako hoi hata kabla mechi kuanza!!!!!!!!!!!!!!!! Sisiemu +associates ni vyama vya wazee (wenzetu)- hawataki taabu, sasa CDM inataka kuleta taabu tu!!!!!!!!!!!. Wataanza kuwaza hata mbinu za kukolimba kama shortcut-Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Wana uhakika na kura ngapi katika kuipitisha hiyo hoja? Wanaweza kupata hata simple majority ?
 
Back
Top Bottom