CHADEMA kuna matatizo makubwa ya kiutawala yanayo chochewa zaidi na ombwe la uongozi, unadhani tatizo liko wapi?

CHADEMA kuna matatizo makubwa ya kiutawala yanayo chochewa zaidi na ombwe la uongozi, unadhani tatizo liko wapi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unadhani ni nani kati ya viongozi waandamizi wa Chadema ndiyo hasa chimbuko la ombwe la uongozi lililopo na matatizo mengine makubwa ya kinidhamu na ubinafsi, yanaoonekana bayana kabisa hivi sasa na yanayochochea migawanyiko na kutoheshimiana miongoni mwao?

Je, ujuaji mwingi, ujeuri na ubinafsi baina ya viongozi wake waandamizi kutumia platforms za Chadema kuzungumzia masuala yao binafsi yasiyo na hata chembe ya maslahi kwa Chadema kuna ashiria nini?

Hivi sasa wana Chadema wako dilemma, hawaelewi wamuamini au kumsikiliza nani na wengine wako standby wanasubiri kauli ya mwisho kutoka kwa muandamizi mkuu ili hatimae wajua wamfuate au kutekeleza maagizo ya nani, na muhimu zaid kuamua hatma ya uanachama wao chadema.

Je, wewe ndugu mdau wa siasa za Chadema upo, upande wa Chadema ipi kati ya pande zilizojitokeza kulumbana hadharani mpaka sasa?🐒

Mungu Ibariki
 
chama kimepoteza dira nahii imechangiwa na tamaa ya madaraka na ubinafsi.
wa kulaumiwa hapa si mwingine zaidi ya mr konyagi
nini kifanyike gentleman ili waweze kujinasua kwenye mkwamo huo 🐒
 
Tatizo ni Katibu Mkuu
kawa mpole mpaka kaipooza na chadema kwa ujumla, dah?

Muungwana haitishi vikao, hadi waandamizi wameamua kujiitishia vikao vyao na wanahabari na kujisemea ya moyoni dah?

Kifanyike nini sasa gentleman, ili hatimae chama hicho cha kidemokrasia, kutoka kwenye mkwamo huo?

au wanaogopana?🐒
 
Kifanyike nini sasa gentleman, ili hatimae chama hicho cha kidemokrasia, kutoka kwenye mkwamo huo?

au wanaogopana?🐒
Hapo cha kufanya ni kwa wanachama wote wakiwamo na viongozi wao wa Chadema wajiunge CCM, wakapewe elimu ya uendeshaji wa vyama vya siasa. Wakati hawa wanapewa elimu hiyo, wananchi wengine ambao wanajielewa waanzishe chama kipya kitakachoweza kufanya siasa za ushindani badala ya kufanya siasa za upinzani!
===
Povu ruksa, ili wahusika wapunguze stress.
 
Unadhani ni nani kati ya viongozi waandamizi wa Chadema ndiyo hasa chimbuko la ombwe la uongozi lililopo na matatizo mengine makubwa ya kinidhamu na ubinafsi, yanaoonekana bayana kabisa hivi sasa na yanayochochea migawanyiko na kutoheshimiana miongoni mwao?

Je, ujuaji mwingi, ujeuri na ubinafsi baina ya viongozi wake waandamizi kutumia platforms za Chadema kuzungumzia masuala yao binafsi yasiyo na hata chembe ya maslahi kwa Chadema kuna ashiria nini?

Hivi sasa wana Chadema wako dilemma, hawaelewi wamuamini au kumsikiliza nani na wengine wako standby wanasubiri kauli ya mwisho kutoka kwa muandamizi mkuu ili hatimae wajua wamfuate au kutekeleza maagizo ya nani, na muhimu zaid kuamua hatma ya uanachama wao chadema.

Je, wewe ndugu mdau wa siasa za Chadema upo, upande wa Chadema ipi kati ya pande zilizojitokeza kulumbana hadharani mpaka sasa?🐒

Mungu Ibariki
Kajipangeni mkaokoe watu kariakoo huko.
Mungu ni wa wote ukileta figisu za kishamba mungu huingilia kati.
Mmejipanga na majanga ????
 
Kajipangeni mkaokoe watu kariakoo huko.
Mungu ni wa wote ukileta figisu za kishamba mungu huingilia kati.
Mmejipanga na majanga ????
nadhan hekima na busara ingekuelekeza kupeleka mchango wako wa hoja na mapendekezo kwenye hoja mahususi kuhusu hilo..

ni bahati mbaya mihemko na ghadhabu zako zimekuchochea kuonyesha makasiriko yako pasipohusika.

Halafu gentleman,
kama unafahamu Mungu ni wa wote una mbwelambwela na kubaika nini sasa aise 🐒
 
Hapo cha kufanya ni kwa wanachama wote wakiwamo na viongozi wao wa Chadema wajiunge CCM, wakapewe elimu ya uendeshaji wa vyama vya siasa. Wakati hawa wanapewa elimu hiyo, wananchi wengine ambao wanajielewa waanzishe chama kipya kitakachoweza kufanya siasa za ushindani badala ya kufanya siasa za upinzani!
===
Povu ruksa, ili wahusika wapunguze stress.
ushauri mujarabu sana,

nami nasuburi kwa hamu sana hoja zenye vibration juu yeke kwa wahusika wa ushauri huo wa maana sana kwa ustawi wa demokrasia ya vyama vingi nchini 🐒
 
Back
Top Bottom