Ni jambo la kheri kuwa CHADEMA itakuwa na ugeni mkubwa kesho. Uthibitisho thabiti kuwa upinzani siyo jinai tena.
Pongezi nyingi kwa Mama Samia Rais wetu kwa hili.
Hivyo basi itumike fursa hii vizuri kuendelea kuyaweka wazi yaliyo vipaumbele zaidi kwa maslahi ya watu. Mfano:
1. Katiba Mpya
2. Wanaoshikiliwa kwa figisu za kisiasa
3. Walioathiriwa kwa figisu za kisiasa wakiwemo waliokufa, kujeruhiwa au kupotea
4. Uchunguzi kamili na kuwajibishwa kwa waliohusika kwenye #3
5. Kuwahusu wale wadada 19 bungeni bila ridhaa ya chama
6. Nk.
Tujipange kwa ugeni huu na presentation za kistaraabu zilizoshiba.
Tanzania iliyo bora zaidi inanukia.
Pongezi nyingi kwa Mama Samia Rais wetu kwa hili.
Hivyo basi itumike fursa hii vizuri kuendelea kuyaweka wazi yaliyo vipaumbele zaidi kwa maslahi ya watu. Mfano:
1. Katiba Mpya
2. Wanaoshikiliwa kwa figisu za kisiasa
3. Walioathiriwa kwa figisu za kisiasa wakiwemo waliokufa, kujeruhiwa au kupotea
4. Uchunguzi kamili na kuwajibishwa kwa waliohusika kwenye #3
5. Kuwahusu wale wadada 19 bungeni bila ridhaa ya chama
6. Nk.
Tujipange kwa ugeni huu na presentation za kistaraabu zilizoshiba.
Tanzania iliyo bora zaidi inanukia.