imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 7, 2023 #21 Kuwafilisi na kuwafunga wale wote waliopora hela za plea bargain na fedha warejeshewe walioporwa.
D Dawa ya Uvccm JF-Expert Member Joined Aug 3, 2021 Posts 2,223 Reaction score 4,717 Mar 7, 2023 #22 Mr Dudumizi said: Hapo kwenye namba 5 kijana usahau, kwa sababu wahusika wanakula na mwenye chama. Click to expand... mwenyechama yule mbwa mliyemzika chato wakishirikiana na yule mwenye komwe wa tume fake ya uchaguz.
Mr Dudumizi said: Hapo kwenye namba 5 kijana usahau, kwa sababu wahusika wanakula na mwenye chama. Click to expand... mwenyechama yule mbwa mliyemzika chato wakishirikiana na yule mwenye komwe wa tume fake ya uchaguz.
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Mar 7, 2023 Thread starter #23 imhotep said: Kuwafilisi na kuwafunga wale wote waliopora hela za plea bargain na fedha warejeshewe walioporwa. Click to expand... Haya ni details ndani ya #3 na #4 kwenye list
imhotep said: Kuwafilisi na kuwafunga wale wote waliopora hela za plea bargain na fedha warejeshewe walioporwa. Click to expand... Haya ni details ndani ya #3 na #4 kwenye list