CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, mambo yote yataanikwa na Wahusika wote watatajwa

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, mambo yote yataanikwa na Wahusika wote watatajwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo inaeleza kwamba, Chama hicho kinatarajia kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma 14/6/2023.

Bila shaka jambo kubwa linalozungumzwa Dunia nzima la Mauzo ya Bandari litaenda KUHITIMISHWA RASMI , taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba kila kitu kinakwenda kuanikwa wazi kabisa.

Usiondoke JF.

FB_IMG_1686645115323.jpg
 
Wananchi wametafuniwa kila kitu. Hata wao wamekiri. Ila hawana cha kufanya
 
Lisuu au mbowe ,mbowe aliongea pumba sana
Mkuu kwenye hizo pumba ndani yake Kuna hoja za msingi......

Tujadili hoja za msingi tuache porojo na pumba.....

Hoja zinazo ibua wasiwasi ni kua mkataba hauna ukomo, hoja ya uzanzibar wa madam president na waziri mbarawa.....

Hoja kwanini bandari inayo binafsishwa ziwe TANGANYIKA pekee na sio na Zanzibar......

Najua Lengo la Mama Rais SAMIA ni kuboresha bandari Ili tuweze kunufaika maradufu ila MANENO YA WALIMWENGU NI MENGI......
 
Wasisahau kufuatilia kwa makini wale waliokwenda Dubai walipewa nini kule, zile posho na zawadi binafsi, ambazo basically ni rushwa (kinyume na sheria ya maadili ya viongozi wa umma).
 
Aiseh hata mim nawaunga mkono walipue kote kote mana imekua too much
 
Wataongea mambo mengi ambayo wao wenyewe hawawezi kuyafanya...

Wapuuzwe.
 
Hizi ndio siasa tulizokuwa tunazihitaji wananchi yale maridhiano yakutegemea kupata wabunge kwa huruma za Rais tuachane nazo kabisa kuna chama cha mbatia walihaidiwa watakuwa chama kikuu cha upinzani mwisho hawakupewa hata kiti kimoja ccm sio wakuaminiwa chadema tangulizeni maslahi ya nchi chukueni point kwenye hili
 
Bila shaka jambo kubwa linalozungumzwa Dunia nzima la Mauzo ya Bandari litaenda KUHITIMISHWA RASMI , taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba kila kitu kinakwenda kuanikwa wazi kabisa .
Wabunge waliopelekwa Dubai wanajulikana?
Sasa hivi yule fisadi Msukuma pekee ndiye kajitangaza, wengine ni akina nani?

Wananchi wanayo haki ya kuwajua hawa.
 
Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
 
Mimi dr slaa ameshamaliza kila kitu!

Hao waramba asali hawana jipya
 
Back
Top Bottom