CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ya ghafla iliyosambazwa na Chama hicho inaeleza kwamba Mkutano huo utafanyika saa 7 kamili mchana wa leo , kwenye makao makuu ya Chama hicho Nje ya Jiji la Dar es Salaam , Kinondoni , Mtaa wa Ufipa .

Waandishi mtakaohudhuria mnaombwa kufuata muongozo wa WHO wa kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .

Wote mnakaribishwa .

Chadema_kaskazini_on_Instagram:_“TAARIFA_KWA_VYOMBO_VYA_HABARI__Habari,_Katibu_Mkuu_wa_Chama_c...jpg
 
Back
Top Bottom