Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kishaongea sana alipokuwa mwanza, Tabora, dodoma, moro, kipi kipya tena? Ila nyie makamanda hamnaga akiliAsante kwa taarifa
Tunapaswa kukaa mkao wa kula, ili tumsikilize mwamba Mbowe, akishusha nondo zake
Wewe akili zako ziko wapi?Kishaongea sana alipokuwa mwanza, Tabora, dodoma, moro, kipi kipya tena? Ila nyie makamanda hamnaga akili
Mkutano huu si kwa ajili ya watu duniSitasikiliza
Makamanda uchwara, watapata wapi akili wakati mwenyekiti wao kazibeba.Kishaongea sana alipokuwa mwanza, Tabora, dodoma, moro, kipi kipya tena? Ila nyie makamanda hamnaga akili
Kwani unateseka ?Makamanda uchwara, watapata wapi akili wakati mwenyekiti wao kazibeba.
kama ambavyo mwenyekiti wenu alikufa na akili zenu mataga sio ee??Makamanda uchwara, watapata wapi akili wakati mwenyekiti wao kazibeba.
Mngekuwa sio duni msimngemlamba viatu huyo mwenyekitiMkutano huu si kwa ajili ya watu duni
kulamba viatu ni nini ?Mngekuwa sio duni msimngemlamba viatu huyo mwenyekiti
Endelea kupiga ramli za kichawiHivi ndio Makene?
Kishindo cha awamu ya 5 chaliiiiii Kafa kaoza .Hivi ndio Makene?
Naona wanasumbuka vilivyo.Kwani unateseka ?