CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

SAFI KABISA NITAKAA SITI YA MBELE KUSIKILIZA MREJESHO WA MAPATO NA MATUMIZI WA SADAKA ZETU TULIZOCHANGISHWA KIPINDI KILE CHA KAMPENI.
 
Mimba ile ya bimkubwa wako ama wamanisha nn
Usipanic dada,!

Ukijifungua utakaa sawa tu,! Au kama vipi nipe mie niilee maana mwenye nayo alishafariki na kuzikwa kule chato
 
... huu mkutano ulifutwa? This is wrong kutoa ahadi za uongo! Haifai kwa chama kikubwa kama Chadema; mnakosea sana.
 
SAA saba mchana bado? Mbona hatupati mrishonyuma?
 
Mtoa post umejidhalilisha binafsi, umemdhalilisha mwenyekiti wako na umekidhalilisha chama chako cha Chadema. Tuliishawaambia uongo na uzushi haviwasaidii na havitawasaidia. Haya Press Conference iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…