Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM inafanyia IkuluBaada ya kutumia kodi za nyumbu kwenye hoteli ya kitalii kwa wiki nzima wanakuja kuitisha conference ya kuhalalisha wizi wao.
Chama hakina ukumbi wa kufanyia mikutano kwa miaka 35? Shame up on them.
Majibu ya swali lako anayo Amos MakallaAhsante kwa taarifa
Huo mtaa hauna Panyaroad?
Pia kwann aache ndege mpya zimepaki adandie kuu kuu kwenda mazikoni???Wasiche pia kuhoji Raisi wetu mpendwa kupandishwa kwenye mwendokasi.
Je Mulmula ajiuzulu?
Mfuasi wa Kayafa.......Baada ya kutumia kodi za nyumbu kwenye hoteli ya kitalii kwa wiki nzima wanakuja kuitisha conference ya kuhalalisha wizi wao.
Chama hakina ukumbi wa kufanyia mikutano kwa miaka 35? Shame up on them.
Maake hapo kwanza nchekeAhsante kwa taarifa
Huo mtaa hauna Panyaroad?
baba yako ana nyumba ya maana?, shame upon himBaada ya kutumia kodi za nyumbu kwenye hoteli ya kitalii kwa wiki nzima wanakuja kuitisha conference ya kuhalalisha wizi wao.
Chama hakina ukumbi wa kufanyia mikutano kwa miaka 35? Shame up on them.
Asante kwa taarifa, huu mkutano sio wa kukosa kwa media na waandishi wowote makini!, ila Mtaa wa Ufipa sio nje ya Jiji la Dar es Salaam!. Pale ni Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam ni kuanzia Posta kwa Kinondoni ni mpaka Mwenge, ukivuka Mwenge ndio nje ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa ilala ni ukivuka Buguruni na kwa Temeke ukivuka Kurasini.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kimeitisha Mkutano na Waandishi wa Habari, tarehe 20/09/2022 , Saa 5 Asubuhi kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho, zilizoko nje ya Jiji la Dar es Salaam huko Kinondoni, Mtaa wa Ufipa.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania , awamu ya 5 iliondoa Masaki , oysterbay , kinondoni , Temeke , Ubungo , Mbagala na kigamboni kuwa sehemu ya Jiji la DSM na kuipaisha manispaa ya ilala tu kuwa JijiAsante kwa taarifa, huu mkutano sio wa kukosa kwa media na waandishi wowote makini!, ila Mtaa wa Ufipa sio nje ya Jiji la Dar es Salaam!. Pale ni Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam ni kuanzia Posta kwa Kinondoni ni mpaka Mwenge, ukivuka Mwenge ndio nje ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa ilala ni ukivuka Buguruni na kwa Temeke ukivuka Kurasini.
P
Lissu mmemchangia nauli?Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kimeitisha Mkutano na Waandishi wa Habari, tarehe 20/09/2022 , Saa 5 Asubuhi kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho, zilizoko nje ya Jiji la Dar es Salaam huko Kinondoni, Mtaa wa Ufipa.
Wote Mnakaribishwa.
View attachment 2361749
Awakomboe ufipa hapo kwanza mliponasa na kufirisika kisera, Lisu huyuhuyu aliyejificha ubalozini na tiketi yake ndio amkomboe mtanzania? Sisi watanzania tulishakombolewa na Hayati Mwalimu nyerere na Sasa Ni mwendo wa kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe chini ya mh Rais wetu mpendwa mama SamiaMungu ibariki chedema, Mungu mrejeshe Tundu lissu aje akomboe watanzania [emoji120]