MAMA ALISEMA STUPIDBaada ya sarakasi nyingi sana za chadema , hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
Chadema wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi ,Dkt Slaa na Mdude chadema kwenye harakati zao za bandari.
Chadema wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao.
Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu,
Rai yangu , Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena
Hiu imekaa kiudaku zaidiBaada ya sarakasi nyingi sana za chadema , hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
Chadema wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi ,Dkt Slaa na Mdude chadema kwenye harakati zao za bandari.
Chadema wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao.
Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu,
Rai yangu , Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena
Akina mwambukutu na mdudu je wameachwa kwenye mataaBaada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Kama wanarud kwaajil ya mamb ya msingi yenye tija its okay!!Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Mdude alishupaza sana shingo,wenzake wamemchoraAkina mwambukutu na mdudu je wameachwa kwenye mataa
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Sasa ACT si ndio wako chumbani kwa bibi kabisa?Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Uongo hautakuondolea umasikini ulionaoBaada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Kwendraaaa huko na illusions zako.Chadema inakwenda kupasuka 2025 na haya yote anayataka Mbowe.