Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
hii taarifa umeitolea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaraka wa ulaya hawezi elewa wala kukubali hilo jamboBaada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Mbafiki mkubwa wewe!Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Huyo jamaa ni koko fulani la CCM bora kumpuuza tu.Uongo hautakuondolea umasikini ulionao
Wanarudi tena kwenye maridhiano au wanafuatilia dili liongezwe?Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Kwahiyo hii kwako ni taarifa?Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
Kama Jiwe alivyorambishwa asaliWanasiasa ni walambalamba asali...
Uvccm mnaroho mbaya kuliko hata nyoka kobokoCDM ni kama wanajibebisha kwa Samia wakitegemea atawapa makombo yoyote, hakuna watakalo ambulia la maana sana sana kina Mbowe watalambishwa asali kidogo na ndio safari ya CDM kuwa “NCCR “mpya inachangamka.
ACT habari zao ziliisha tangu siku alipozikwa maalim Seif ShariffKama Viongozi wetu wa CHADEMA wameona kuna tija basi sisi tuko nao bega kwa bega.
Tuondoke kwenye Confrontation twende kwenye Dialogue.
Tumeshuhudia Mbarali Kinana katembeza fitna Wananchi wameitosa ACT Wazalendo sisi nina imani tungeshinda hilo jimbo.
Sauti ya wengi ni sauti ya MunguMimi naamini dola isionekana na imesema hakuna uchaguzi hadi KATIBA mpya!!
Akisema Jiwe kuwa cdm imekwisha lkn cha ajabu akaisha yeyeChadema inakwenda kupasuka 2025 na haya yote anayataka Mbowe.
UmetishaMAMA ALISEMA STUPID
Mtu mwenyewe mleta uzi ni pungaHiu imekaa kiudaku zaidi
Kwenye mataa ya chatoAkina mwambukutu na mdudu je wameachwa kwenye mataa
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kama alivyoshupaza shingo jiwe juu ya kovidMdude alishupaza sana shingo,wenzake wamemchora