Tetesi: CHADEMA kurudi kwenye maridhiano na CCM

Kibaraka wa ulaya hawezi elewa wala kukubali hilo jambo
 
Mbafiki mkubwa wewe!
Dk Slaa hajawahi kutaka kurudi Chadema!
Pia wewe sio msemaji wa Chadema!
Wewe ni m**a koko wa Lumumba ya fisi!
 
Wanarudi tena kwenye maridhiano au wanafuatilia dili liongezwe?
 
Kwahiyo hii kwako ni taarifa?
 
CDM ni kama wanajibebisha kwa Samia wakitegemea atawapa makombo yoyote, hakuna watakalo ambulia la maana sana sana kina Mbowe watalambishwa asali kidogo na ndio safari ya CDM kuwa “NCCR “mpya inachangamka.
Uvccm mnaroho mbaya kuliko hata nyoka koboko
 
ACT habari zao ziliisha tangu siku alipozikwa maalim Seif Shariff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…