Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Karibu sanaAhahahahaha! Lakini, bado hawajamaliza kulipia gari la Lissu. Hii sijui tone, tone, itafanikiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sanaAhahahahaha! Lakini, bado hawajamaliza kulipia gari la Lissu. Hii sijui tone, tone, itafanikiwa?
SafiMpaka muda huu wanakaribia mi 2
Noma sanaSafi
Mrembo tu wewe, utapakatwa shauri yakoI will apply soft oil to you,it seems you're used to being oiled.
Come let me apply some oil on you while I give you a light slap on the back.Mrembo tu wewe, utapakatwa shauri yako
kiingereza ugoko mtupu!Come let me apply some oil on you while I give you a light slap on the back.
Hiyo some oil apply to ur moma kidCome let me apply some oil on you while I give you a light slap on the back.
Naunga mkono Hoja.Safi sana, Chadema waanzishe TV maana hao wapuuzi wanaweza kufanyiwa figisu wakakata matangazo.
Mwenyewe kwa akili yake ndio kaichagua hiyo suti. Chama hakina pesa amechanganyikiwaSawa,hawakuweza kupata vipimo vyake, au special ni lazima iwe oversize?
Kwani uzi ndio unachanga hela? Acha utoto dogo.Sasa mbona uzi umedorora hivi?
Kwani ni suti ya bei chee boss? Ni kweli hicho chama hakina hela maana hakifadhiliwi na wauza unga kama ccm.Mwenyewe kwa akili yake ndio kaichagua hiyo suti. Chama hakina pesa amechanganyikiwa
Haichekeshi.Huyo ni maskini kapuku. Kalinunua mtumbani Kintinku!
Chadema inapata ruzuku milioni 107 kila mwezi, tatizo wapigaji wengi hiyo pesa haijulikani inapokwendaKwani ni suti ya bei chee boss? Ni kweli hicho chama hakina hela maana hakifadhiliwi na wauza unga kama ccm.
Jana kiliwakaaa sijawahi kuona watu wengi kwenye media kiasi kile.Tayari watu milioni moja wameingia NIMO
Kimekosewa wapi hicho kingereza? Mwalimu wako mwenyewe akiona anakuja kuomba kufundishwakiingereza ugoko mtupu!
Ur moma kid ndo nini kilaza wewe? Au ndo kingereza cha kazuramimba kigoma?Hiyo some oil apply to ur moma kid
masisiemu walijitahidi sana kuingilia mfumo, ITV ilikatika zaidi ya mara 20 ili tu watu wasione. ninachowashauri chadema, tengenezeni clip nyingi mfanye hii kitu kwa mtandao, sambazeni clip ndogondogo ili watu wazione facebook, instagram, x na tiktok.Hii ndio Taarifa ya ghafla iliyotufikia hivi Punde
View attachment 3252242
No Reform No Election
========
Mengineyo: Inatarajiwa ITV kuvunja rekodi ya Watazamaji Tangu kuanzishwa kwake.
UPDATES
=======
Tayari Tuko Live ITV, fuatilia bure kabisa bila bando