Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ulaya gani hiyo isiyo na mtandao wa Internet!?Hivi kesi imeisha mkuu?? Sina taarifa nilikuwa Ulaya kikazi....!! Nipe taarifa mkuu!
Ukweli utapatikana yakirushwaJinsi watu walivyoizira chadema.
Sio CCM bro,umesahau CCM kama chama haina jeshi,ispokuwa ni serikali dhidi ya vyama vya upinzani.Kwahiyo Chadema mmekuwa wa level ya " KATA" kweli?!!!...... Nimeamini CCM inatisha!!
Asante sana tutarudi kwakoKumekucha ! Taarifa za chinichini zinadokeza kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinautafakari ushauri wa magwiji wa siasa nchini wa kurusha moja kwa moja mikutano yake ya kampeni za udiwani nchi nzima , hasa mikutano inayohutubiwa na viongozi wa kitaifa .
Ushauri huu umeletwa baada ya viongozi wakuu wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa chama , Mh Freeman Mbowe kufungua kampeni kali sana kwenye kata ya Saranga Jimbo la Ubungo , Taarifa za magwiji wa siasa zinatanabaisha kwamba maneno mazito yaliyosemwa na Mh Mbowe kwenye mkutano huo wa kampeni , si ya hadhi ya Kata wala jimbo , ni hotuba kali iliyojaa ukweli mtupu yenye hadhi ya KITAIFA , taarifa zinasema hotuba kali kama ile kuishia Kimara pekee ni sawa na kuwanyima haki ya kupata taarifa Watanzania wengine nchi nzima .
Ni matumaini yangu ushauri wa magwiji wa siasa utafanyiwa kazi haraka .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Nakala kwa Molemo na Mwanahabari Huru .
Usiogope ! Shetani hajawahi kumshinda Mungu .Tatizo ni channel gani
Ha! Ha! Ha!Ulaya gani hiyo isiyo na mtandao wa Internet!?
Kwi! Kwi! Kwi!Hata wakirusha live, hakuna watachoambulia
We are still waiting for kamanda barafuyamoto to join us.Kamanda Nyalandu atakuwa laivu, bila kusahau kamanda Sumaye!!
This is pure comedy witj all of its splendors!
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .Sio CCM bro,umesahau CCM kama chama haina jeshi,ispokuwa ni serikali dhidi ya vyama vya upinzani.
hili dongo kama lina ukweli hivi! Mungu ibariki dunia nzima na viumbe vyake vyote ha ha ha[emoji23] [emoji23] mungu anawabariki wote ccm na chadema pia Mungu sio NEC apendelee upande mmoja
Inayotisha siyo ccm bali ni polisi,hiyo siyo KATA bali ni jukwaa la siasa.Kwahiyo Chadema mmekuwa wa level ya " KATA" kweli?!!!...... Nimeamini CCM inatisha!!
Huo ndio ukweli, au umesahau ya chopa tatu kata moja?Kwi! Kwi! Kwi!
Updates za Mtwara bado?Mikutano yote ambayo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe atakuwepo itakuwa live kupitia Facebook page Freeman Mbowe pamoja social media nyingine
Hufananii hii comment Mkuu, wewe ni zaidi ya hivi, haya waachie kina cocochanel