Pre GE2025 CHADEMA kusambaratika kwasababu ya uroho na tamaa ya urais wa viongozi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawa viongozi hawana uzalendo na chama chao,nakubaliana kabia kuwa kwa uraisi ni kupoteza muda hawapati wekeni nguvu kwa wabunge na madiwani. Lissu Mbowe tulizeni misuka mpeni dr Silaa mara kumi siyo nyinyi kugombeq urais.
Hatuthubutu kumpa nchi kinyonga.
 
Lissu anataka urais,ikitokea vita sijui ataendaje mstari wa mbele, sasa hivi anajifanya kuandamana watu wamuone mzima, kumbe mavyuma yanajikoroga ndani humo, na aombe chadema wenzake wasizue vurugu katika maandamano, wamsukume aaanguke
Hujafa hujaumbika mkuu. Usimcheke mwenzako kwa Hila za CCM .
 
Takataka nyingine hii
 
Lissu anataka urais,ikitokea vita sijui ataendaje mstari wa mbele, sasa hivi anajifanya kuandamana watu wamuone mzima, kumbe mavyuma yanajikoroga ndani humo, na aombe chadema wenzake wasizue vurugu katika maandamano, wamsukume aaanguke
Hiyo ndoto Yako kama bado ujanya kitandani mshukuru mola wako
 
Usiseme sisi.
Sema mimi
Sawa mheshimiwa.CHADEMA tuko wengi na tunamkubali sana Tundu Lissu,Freeman Mbowe na John Heche.Sasa jamaa kasema hakuna fara yeyote atakayewapigia kura CHADEMA.Kwa vile anatuona sisi CHADEMA kama MAFALA basi anajibiwa kifala ili kupunguza mihemko na jazba.Na nafikiri vichwa vingi vimeona huo upuuzi wa kukejeli viongozi wetu kisa tu ni CHADEMA.Mungu wa mbinguni akubariki ila mimi nimekubali kuitwa fala kwa sababu Viongozi wangu nawapenda kuliko anavyojifikiria ndugu BIGSHOW.
 
SIJAKUELEWA NI LINI MBOWE ALISEMA ANAUTAKA URAIS? KWELI UJINGA NAO NI KIPAJI NAONA UNA KIPAJI CHA UPOTOSHAJI NA UONGO
 
Kupasuka kwa Chadema kinaweza kuzaa chama imara cha upinzani kwa sababu ndani ya Chadema wapo wanaotaka mageuzi ya kweli na wapi wanaotaka kushibisha matumbo yao.
Salama ya CCM ni kuwa na Chadema iliyopo
 
Eti umetumwa kuleta mfarakano
Hii Tiss hovyo sana wako bize kuiokoa ccm siyo nchi
 

Kiongozi wa "MALAIKA" alihidi hadi 2020 hakutakuwa na upinzani nji ii....
 
Chadema haitasambaratika kamwe na urais wataupata, ni suala la muda tu.
 
Chadema imeshakufa
 
HAKUNA FALA ANAEWEZA WAPA WACHAGA NCHI WEWE
Pamoja na ushuzi unaoandika lakini hakuna steji ya elimu ilopita bila kufundishwa na mchaga, najua umewahi umwa wachaga ni kati ya watu walowahi kukutibu, walikufanyia na upasuaji Wala hawakukuibia figo, huwenda hata mama Yako wakati anakuzaa alizalishwa na mchaga, hata benki ulihudumiwa na mchaga mbona koote huko hukugoma? Na mbona upo salama Kwa hiyo wachaga kuchukua nchi ndo iwe nongwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…