Pre GE2025 CHADEMA kusambaratika kwasababu ya uroho na tamaa ya urais wa viongozi wake

Pre GE2025 CHADEMA kusambaratika kwasababu ya uroho na tamaa ya urais wa viongozi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema ukabila na udini unakisumbua sana hiko chama, ukiongeza na suala hilo la uroho wa madaraka na pesa hakuna fala anaweza wapa nchi waongoze.
Mlianza na CUF kusema wana udini. Mkaja NCCR na Uchagga. Now Chadema na ukabila. Anyway, what is the next move?
 
Jasusi anaetegemewa wa chadema muheshimiwa Mdude anasemaje?
 
Pamoja na ushuzi unaoandika lakini hakuna steji ya elimu ilopita bila kufundishwa na mchaga, najua umewahi umwa wachaga ni kati ya watu walowahi kukutibu, walikufanyia na upasuaji Wala hawakukuibia figo, huwenda hata mama Yako wakati anakuzaa alizalishwa na mchaga, hata benki ulihudumiwa na mchaga mbona koote huko hukugoma? Na mbona upo salama Kwa hiyo wachaga kuchukua nchi ndo iwe nongwa?
SHIDA YENU KUBWA NI WIZI NA UBINAFSI
 
Back
Top Bottom