Utakufa wewe Hadi na michepuko Yako chadema mtaiacha hata kubwa la maadui lilisepa na kuiacha chadema ikitamalakiChadema imeshakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakufa wewe Hadi na michepuko Yako chadema mtaiacha hata kubwa la maadui lilisepa na kuiacha chadema ikitamalakiChadema imeshakufa
Mlianza na CUF kusema wana udini. Mkaja NCCR na Uchagga. Now Chadema na ukabila. Anyway, what is the next move?Chadema ukabila na udini unakisumbua sana hiko chama, ukiongeza na suala hilo la uroho wa madaraka na pesa hakuna fala anaweza wapa nchi waongoze.
JidanganyeUtakufa wewe Hadi na michepuko Yako chadema mtaiacha hata kubwa la maadui lilisepa na kuiacha chadema ikitamalaki
Nadhani ifike mahali nyie Wenye akili mjitahidi msihokiane na Mazuzu.Duh
Ni lini huyo Mbowe alitamka kuutaka uRais?🐼
SHIDA YENU KUBWA NI WIZI NA UBINAFSIPamoja na ushuzi unaoandika lakini hakuna steji ya elimu ilopita bila kufundishwa na mchaga, najua umewahi umwa wachaga ni kati ya watu walowahi kukutibu, walikufanyia na upasuaji Wala hawakukuibia figo, huwenda hata mama Yako wakati anakuzaa alizalishwa na mchaga, hata benki ulihudumiwa na mchaga mbona koote huko hukugoma? Na mbona upo salama Kwa hiyo wachaga kuchukua nchi ndo iwe nongwa?