Pre GE2025 CHADEMA kusambaratika kwasababu ya uroho na tamaa ya urais wa viongozi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema ukabila na udini unakisumbua sana hiko chama, ukiongeza na suala hilo la uroho wa madaraka na pesa hakuna fala anaweza wapa nchi waongoze.
Mlianza na CUF kusema wana udini. Mkaja NCCR na Uchagga. Now Chadema na ukabila. Anyway, what is the next move?
 
Jasusi anaetegemewa wa chadema muheshimiwa Mdude anasemaje?
 
SHIDA YENU KUBWA NI WIZI NA UBINAFSI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…