Tetesi: CHADEMA kushirikiana na UKAWA kurudi Bungeni kwa kishindo kikuu

Tetesi: CHADEMA kushirikiana na UKAWA kurudi Bungeni kwa kishindo kikuu

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam, tetesi zilizotufikia hivi punde ni kwamba CHADEMA ,CUF, ACT-Wazalendo na NCCR Mageuzi wamejichimbia kufanya vikao vya ndani ili kuja bungeni na hoja ambazo zilitalitikisa taifa.

Aidha tetesi hizo zinasema hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Hoja nyingine ni matumizi hasa manunuzi yasiopitishwa Bungeni na kutengewa bajeti ili Bunge liisimamie Serikali ni si Serikali kulisimamia bunge km ilivyo leo.

Aidha hoja nyingine ya upinzani ni kuhusu kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, mauaji na kuokotwa maiti kwenye virobo na kupotea kwa watu kama Ben Saanane na mwandishi Azory.

Katika hoja hii UKAWA wamepanga kudai Serikali iitishe uchunguzi huru kwamba Polisi washirikishe wachunguzi wa kimataifa ili kuwajua watu wasiojulikana.

Tusubiri muda ni rafiki wa kweli.
 
Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
Mkuu tetesi hizi zimepatikana chanzo cha kuaminika subiri uone kama ni uongo. Kamati kuu za vyama hivi zimewaagiza wabunge wake wakasemee bungeni kwani mikutano ya siasa imepigwa marafuku, hivyo sehemu pekee ya kusemea iliobaki ni bungeni.
Nimeelewa vtu viwili tu katiba mpya na tume huru kama watakuwa strong kulisimamia tofauti na hapo upinzan bora ufutwe
 
Mbowe anasema kambi ya upinzani hawawezi kuandaa bajeti za kambi ya upinzani kwa kuwa hawana wataalamu wa kuandaa bajeti, wangeanza kujinasua hapo kwanza. Ni aibu KUB kutegemea wataalamu wa Bunge kumuandalia bajeti akimaliza analitukana bunge tena.
 
Sawa... Hizo zote ni hoja za msingi, shida ni jee yupo kiongozi yoyote wa muhimili huo atakaekuwa tayari kuona wanapata muda wa kujadili kwa Uhuru? Hata hoja zikiwasilishwa vema nani atawaungabmkono maana wale wa upande mwingine wamezoea tu kisema ndiyoooooooooooo!!!! bila kuangalia mantiki, wao wanaangalia aliesema na wala sio kilichoswmwa
 
Sawa... Hizo zote ni hoja za msingi, shida ni jee yupo kiongozi yoyote wa muhimili huo atakaekuwa tayari kuona wanapata muda wa kujadili kwa Uhuru? Hata hoja zikiwasilishwa vema nani atawaungabmkono maana wale wa upande mwingine wamezoea tu kisema ndiyoooooooooooo!!!! bila kuangalia mantiki, wao wanaangalia aliesema na wala sio kilichoswmwa
 
Mkuu neno CHADEM kwenye title yako lina maana gani?
 
Hayo mawili ya kwanza wako sawa,issue ya Lissu waviachie vyombo vya dola
 
Wasalaam, tetesi zilizotufikia hivi punde ni kwamba CHADEMA ,CUF, ACT-Wazalendo na NCCR Mageuzi wamejichimbia kufanya vikao vya ndani ili kuja bungeni na hoja ambazo zilitalitikisa taifa.

Aidha tetesi hizo zinasema hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Hoja nyingine ni matumizi hasa manunuzi yasiopitishwa Bungeni na kutengewa bajeti ili Bunge liisimamie Serikali ni si Serikali kulisimamia bunge km ilivyo leo.

Aidha hoja nyingine ya upinzani ni kuhusu kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, mauaji na kuokotwa maiti kwenye virobo na kupotea kwa watu kama Ben Saanane na mwandishi Azory.

Katika hoja hii UKAWA wamepanga kudai Serikali iitishe uchunguzi huru kwamba Polisi washirikishe wachunguzi wa kimataifa ili kuwajua watu wasiojulikana.

Tusubiri muda ni rafiki wa kweli.
Chadema " wamekariri" wanadhani hii ni awamu ya 4!
 
Mbowe anasema kambi ya upinzani hawawezi kuandaa bajeti za kambi ya upinzani kwa kuwa hawana wataalamu wa kuandaa bajeti, wangeanza kujinasua hapo kwanza. Ni aibu KUB kutegemea wataalamu wa Bunge kumuandalia bajeti akimaliza analitukana bunge tena.
Huu ujinga mwingine, kwani PM kaandaa mwenyewe hiyo hotuba?
 
Wafu kila wakijaribu kusimama wanaanguka zaidi. Chadema na upinzani vishakufa kabisa TZ
 
Back
Top Bottom