Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam, tetesi zilizotufikia hivi punde ni kwamba CHADEMA ,CUF, ACT-Wazalendo na NCCR Mageuzi wamejichimbia kufanya vikao vya ndani ili kuja bungeni na hoja ambazo zilitalitikisa taifa.
Aidha tetesi hizo zinasema hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Hoja nyingine ni matumizi hasa manunuzi yasiopitishwa Bungeni na kutengewa bajeti ili Bunge liisimamie Serikali ni si Serikali kulisimamia bunge km ilivyo leo.
Aidha hoja nyingine ya upinzani ni kuhusu kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, mauaji na kuokotwa maiti kwenye virobo na kupotea kwa watu kama Ben Saanane na mwandishi Azory.
Katika hoja hii UKAWA wamepanga kudai Serikali iitishe uchunguzi huru kwamba Polisi washirikishe wachunguzi wa kimataifa ili kuwajua watu wasiojulikana.
Tusubiri muda ni rafiki wa kweli.
Aidha tetesi hizo zinasema hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Hoja nyingine ni matumizi hasa manunuzi yasiopitishwa Bungeni na kutengewa bajeti ili Bunge liisimamie Serikali ni si Serikali kulisimamia bunge km ilivyo leo.
Aidha hoja nyingine ya upinzani ni kuhusu kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, mauaji na kuokotwa maiti kwenye virobo na kupotea kwa watu kama Ben Saanane na mwandishi Azory.
Katika hoja hii UKAWA wamepanga kudai Serikali iitishe uchunguzi huru kwamba Polisi washirikishe wachunguzi wa kimataifa ili kuwajua watu wasiojulikana.
Tusubiri muda ni rafiki wa kweli.