Ungeachia watoto kuandika points kama hizi. Sina hakika wewe ni wa mda kidogo humulipumba na Slaa ndio UKAWA original
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeachia watoto kuandika points kama hizi. Sina hakika wewe ni wa mda kidogo humulipumba na Slaa ndio UKAWA original
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Tatizo malipo yao lazima yalipwe na serikali.Mbowe anasema kambi ya upinzani hawawezi kuandaa bajeti za kambi ya upinzani kwa kuwa hawana wataalamu wa kuandaa bajeti, wangeanza kujinasua hapo kwanza. Ni aibu KUB kutegemea wataalamu wa Bunge kumuandalia bajeti akimaliza analitukana bunge tena.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
FactUkawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Impossible case!Nimeelewa vtu viwili tu katiba mpya na tume huru kama watakuwa strong kulisimamia tofauti na hapo upinzan bora ufutwe
Mkuu jiongezeKumbe iliacha kushirikiana na ukawa??!!
Huyo slaa na lipoumber ndio nani?Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI