mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Hategemei wafanyakazi wa Bunge kama Mbowe, hotuba ya Mbowe ilitakiwa ika andaliwe Ufipa pale, ila kwa vile wamejaa watu wanaojua kuropoka tu lakini kichwani f6 failure ndio maana anategemea msaada wa wafanyakazi wa Bunge.Huu ujinga mwingine, kwani PM kaandaa mwenyewe hiyo hotuba?
Lipumba huyu asiye hata na familia?Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Wewe kweli una Kichwa au fuvu? Maana si kwa pumba hizi!Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Mfu ni yule anaetembea na kibetri,mtasubiri sana upinzani kufa,ni sawa na kufukuzana na upepoWafu kila wakijaribu kusimama wanaanguka zaidi. Chadema na upinzani vishakufa kabisa TZ
Hamna kipya hapa! Yote haya wanayaimba long timeWasalaam, tetesi zilizotufikia hivi punde ni kwamba CHADEMA ,CUF, ACT-Wazalendo na NCCR Mageuzi wamejichimbia kufanya vikao vya ndani ili kuja bungeni na hoja ambazo zilitalitikisa taifa.
Aidha tetesi hizo zinasema hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Hoja nyingine ni matumizi hasa manunuzi yasiopitishwa Bungeni na kutengewa bajeti ili Bunge liisimamie Serikali ni si Serikali kulisimamia bunge km ilivyo leo.
Aidha hoja nyingine ya upinzani ni kuhusu kupigwa risasi kwa Tundu Lissu, mauaji na kuokotwa maiti kwenye virobo na kupotea kwa watu kama Ben Saanane na mwandishi Azory.
Katika hoja hii UKAWA wamepanga kudai Serikali iitishe uchunguzi huru kwamba Polisi washirikishe wachunguzi wa kimataifa ili kuwajua watu wasiojulikana.
Tusubiri muda ni rafiki wa kweli.
Walipewa chance enzi za Kikwete wakaipoteza. Badala yake wakawa ni kudai serikali ya mkataba, kuona original copy ya article of union, kumtukana baba wa taifa and so on. Bunge la katiba lililopangwa kukaa kwa muda usiozidi siku 30 likaendelea kwa siku 150 na kutumia matrillion ya pesa ya walipa kodi: kila mjumbe wa bunge hilo akilipwa sh 0.5 billion kwa siku kama sitting allowance. Wajumbe na supporting staff plus facilitators walikuwa zaidi ya 1,000. At the end of all this kilichopatikana ni dude moja linaitwa Ukawa, a big monster which has been terrorizing our country. Sasa ni mjinga gani atakubali zoezi hilo lirudiwe ili likazae dubwasha jingine baya kuliko hilo la mwanzo litakaloitwa Chagema? Yaani tupate mi monster miwili: Ukawa na Chagema? Tutabaki salama hapo? Hatudanganyiki tena.hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Ewe mchumia tumbo, ni lini mshipa wa aibu utakupata?Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Usipende kuwa muumini wa mtu au watuUkawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Wafu kila wakijaribu kusimama wanaanguka zaidi. Chadema na upinzani vishakufa kabisa TZ
Ngoja tusubiriSawa... Hizo zote ni hoja za msingi, shida ni jee yupo kiongozi yoyote wa muhimili huo atakaekuwa tayari kuona wanapata muda wa kujadili kwa Uhuru? Hata hoja zikiwasilishwa vema nani atawaungabmkono maana wale wa upande mwingine wamezoea tu kisema ndiyoooooooooooo!!!! bila kuangalia mantiki, wao wanaangalia aliesema na wala sio kilichoswmwa
Heri yako umeajiriwa rasmi tawi la ccm jf 24/7 [emoji122] [emoji122] [emoji122]Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI