Tetesi: CHADEMA kushirikiana na UKAWA kurudi Bungeni kwa kishindo kikuu

Huu ujinga mwingine, kwani PM kaandaa mwenyewe hiyo hotuba?
Hategemei wafanyakazi wa Bunge kama Mbowe, hotuba ya Mbowe ilitakiwa ika andaliwe Ufipa pale, ila kwa vile wamejaa watu wanaojua kuropoka tu lakini kichwani f6 failure ndio maana anategemea msaada wa wafanyakazi wa Bunge.
 
NLD YA MAKAIDI VEPE SIO UKAWA TENA

Kushirikiana na ukawa Zito ukawa ni wasaka tonge leo na yeye kageuka msaka tonge

Sihasa ni ukafiri kabisa leo unapinga kesho unaunga mkono jambo lile lile ulilolikataa
tena inaweza kuwa hata kuna watu wamepoteza maisha kwa kukataa kwako.
 
Ukawa bila Slaa na lipumba ni UKAWA WA MAFISADI
Lipumba huyu asiye hata na familia?

Slaa huyu aliyepewa ulaji na mwenyekiti wa ccm?

Au unazungumzia watu gani? Na kama unazungumzia hao basi dishi lako limeyumba
 
Hamna kipya hapa! Yote haya wanayaimba long time
 
kwa bunge hili ni bure.zaidi kutatokea tu malumbano kati ya wabunge wa ccm na upinzani basi.
 
hoja kuu ya upinzani itakua katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Walipewa chance enzi za Kikwete wakaipoteza. Badala yake wakawa ni kudai serikali ya mkataba, kuona original copy ya article of union, kumtukana baba wa taifa and so on. Bunge la katiba lililopangwa kukaa kwa muda usiozidi siku 30 likaendelea kwa siku 150 na kutumia matrillion ya pesa ya walipa kodi: kila mjumbe wa bunge hilo akilipwa sh 0.5 billion kwa siku kama sitting allowance. Wajumbe na supporting staff plus facilitators walikuwa zaidi ya 1,000. At the end of all this kilichopatikana ni dude moja linaitwa Ukawa, a big monster which has been terrorizing our country. Sasa ni mjinga gani atakubali zoezi hilo lirudiwe ili likazae dubwasha jingine baya kuliko hilo la mwanzo litakaloitwa Chagema? Yaani tupate mi monster miwili: Ukawa na Chagema? Tutabaki salama hapo? Hatudanganyiki tena.
 
Hizo hoja watazitolea bunge gani? Wakati huo Tulia amelazwa hospitalini ama amekalia kiti cha spika?
 
Kumbe iliacha kushirikiana na ukawa??!!
 
Mktano huu wa Bunge la JMT ni Bajeti ya Serikali 2018/2019. Ni vema kufuata ratiba ya vikao vya Bunge, Wawakilishi wetu kujikita kupanga kilicho bora kwa WaTZ katika bajeti hii badala ya kuibuka na mengine,
 
Tia akili kichwani wewe! Sasa kama vimekufa hofu ya uchaguzi huru na wa haki inatoka wapi? Hofu ya kuwa na katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi inatoka wapi!? Mnahofia upinzani uliokwishakufa!? Ujuha mwisho lumumba siyo humu.


Wafu kila wakijaribu kusimama wanaanguka zaidi. Chadema na upinzani vishakufa kabisa TZ
 
Ngoja tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…