Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Kujifariji nini sasa? Mliahidi kukiua chama kabla ya uchaguzi mkashindwa, bado hata vikao vyao vinawavuruga akili?
Mapokezi ya Lissu juzi yamewavuruga Akili kabisa
 
Asante sana Molemo tupo pamoja tunawaletea Mgombea Urais wa Maono ya Watanzania

Unajifariji Tuu Mkuu....
Waziri wa Vitalu inawezekana Kashamaliza Kazi kwa wajumbe zamani Mnoo?
we kalaga baoo,Jamaa ana fweezaa acha,Soma vizuri tweet yake utaelewa kwanini anawaasa wajumbe wasimsikiljze mtu!
inawezekana Kukutana pale ni kukamilisha tuu utaratibu? Nyalanguuu Ana Nguvu mnoo kimya Kimya,Wanakuchekea labda kashamalizana nao?
 
Unajifariji Tuu Mkuu....
Waziri wa Vitalu inawezekana Kashamaliza Kazi kwa wajumbe zamani Mnoo?
we kalaga baoo,Jamaa ana fweezaa acha,Soma vizuri tweet yake utaelewa kwanini anawaasa wajumbe wasimsikiljze mtu!
inawezekana Kukutana pale ni kukamilisha tuu utaratibu? Nyalanguuu Ana Nguvu mnoo kimya Kimya,Wanakuchekea labda kashamalizana nao?
Kwani Kuna ubaya gani? Wote so watia nia wa Chadema ?
 
Back
Top Bottom