Pre GE2025 CHADEMA kutoa ratiba mpya ya Maandamano ya Amani hivi karibuni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Konyagi zitakuwepo
 
Adalahmaani Kindovu kitembo tutamtadai tembo wetu! Na yule supika atatapika hongo ya DP world aliyopokelea kule Morroco
 
Ufipa sanaa group!
 
Hawa ccm bila kupelekewa moto hawawezi elewa kitu, nahuko mbele watazuia maandamano na mikutano ya hadhara kwani niwazi hawawezo siasa za ushindani na hoja. Yote kwa yote nikuwapelekea moto tu nakuendelea kuelimisha umma juu ya madhila ya ccm na namna wanavyonufaika na ujinga wetu.
 
DEMONSTRATIONS WITHOUT VIOLENCE ITS NOTHING BUT JUST A PICNIC...!!
 
DEMONSTRATIONS WITHOUT VIOLENCE ITS NOTHING BUT JUST A PICNIC...!!
Yaaani mnaandamana hamna hata ka ffu ka kike, hiyo ni fiester, mtasababisha ffu waote vitambi washenzie nyie pigeni hata makelele wastuke
 
Yaaani mnaandamana hamna hata ka ffu ka kike, hiyo ni fiester, mtasababisha ffu waote vitambi washenzie nyie pigeni hata makelele wastuke
Ushauri wako umepokelewa .
 
SAWA MSEMAJI WA CHADEMA JF NADHANI YATAKUWA NA MOSHI PIA SAFARI HII
 
Kwa maoni yangu CHADEMA waachane na maandano kwanza kama miezi 6 wapige press conference za maana nyoka wote watoke shimoni then maandamano baadae
 
Kwa maoni yangu CHADEMA waachane na maandano kwanza kama miezi 6 wapige press conference za maana nyoka wote watoke shimoni then maandamano baadae
Kinana atajibiwa hadharani, Kumbuka vyombo vya habari vyote vishakuwa upande wa ccm kutokana na Njaa

Dawa ni Kupiga Spana mbele ya Umma
 
SAWA MSEMAJI WA CHADEMA JF NADHANI YATAKUWA NA MOSHI PIA SAFARI HII
Kawaambie walikuprogram waifute hiyo code maana huko Moshi yameshafanyika. Hapa unaonekana ni juha tu usiyejua lolote zaidi ya kupewa maagizo na kufanya siasa mfu hapa jukwaani.
 
Lissu ndiye aliyetuletea maandamano yasiyo na kikomo. hafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…