johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Utaikumbuka hii comment 🐼Daima unaandika ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaikumbuka hii comment 🐼Daima unaandika ujinga
Mbuzi hawezi kuandamana na mama yako kwenye maandamano. Kama unamheshimumama yako acha matusi màna ni mwanachama wa chadema. Anaandamanayaani wewe ni kama mbuzi tu unakimbia bila kujua unaenda wapi nchi sasahivi imetulia maendeleo kila kona watu wana enjoyu maisha wewe unakwama wapi mama kafungua nchi acha kulala fanya kazi unakalia majungu tu shauri yako
Vita yaja sasa, tatizo unadhani wanajeshi, mapolisi , wananchi wasio na vyama wote wanakubaliana na kinachofanywa na ccm. Hata na wenye akili ccm hawayataki. Ya kesho huwezi kuyajua unaweza kuyafikiria tuUtaikumbuka hii comment 🐼
Matamanio Yako hayaji bila Katiba mpya na Katiba mpya inaanza na Wewe binafsi Siyo hao Maafisa wanaokudanganya 🐼Vita yaja sasa, tatizo unadhani wanajeshi, mapolisi , wananchi wasio na vyama wote wanakubaliana na kinachofanywa na ccm. Hata na wenye akili ccm hawayataki. Ya kesho huwezi kuyajua unaweza kuyafikiria tu
Umemsoma johnthebaptist kuwa ccm wameamua kutotoa ruhusa ya maandamano. Intelligence ya chama ilifanyie kazi maana spana zimewashtua kuwa sasa wanazikwa, wanaweza and it is most likely watayazuia.Taarifa njema iliyotufikia hivi sasa inaeleza kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kinatarajia kutoa Ratiba mpya ya Maandamano ya Amani yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha, Kikokotoo na sheria mbovu za Uchaguzi.
Habari zinaeleza kwamba maandamano hayo yatagusa maeneo yote ambayo hayakuguswa awali, unaambiwa hakuna kijiji kitakachoachwa.
Kama ilivyo kawaida Maandamano hayo yataongozwa na Tundu Lissu na Freeman Mbowe.
Usiondoke JF ili ufahamu ratiba ya kijiji chako.
View attachment 2983183
mama yangu hawezi kuwa mpumbavu kama weweMbuzi hawezi kuandamana na mama yako kwenye maandamano. Kama unamheshimumama yako acha matusi màna ni mwanachama wa chadema. Anaandamana
Hakuna namna ya kuzuia MaandamanoUmemsoma johnthebaptist kuwa ccm wameamua kutotoa ruhusa ya maandamano. Intelligence ya chama ilifanyie kazi maana spana zimewashtua kuwa sasa wanazikwa, wanaweza and it is most likely watayazuia.
Tunaye kwenye maandamano, basi sasa ni mpumbavu if that is to be the case!mama yangu hawezi kuwa mpumbavu kama wewe
NSSF- huwezi kuijua kwa sababu CHADEMA mnajitolea na Mbowe anakula hela yote kisha mnamuita tajiri aliyetoa hela zake kuendesha chamaAjira lazima ziwe ni za NSSF? NSSF ipi kwanza, hii inayokula michango ya wananchi?
Subiri ratiba mpya weweNSSF- huwezi kuijua kwa sababu CHADEMA mnajitolea na Mbowe anakula hela yote kisha mnamuita tajiri aliyetoa hela zake kuendesha chama
Hivi kumbe wewe ndiye uliyechukua nafasi ya Makene?Subiri ratiba mpya wewe
Nijue taasisi ya majizi Ili iweje labda?NSSF- huwezi kuijua kwa sababu CHADEMA mnajitolea na Mbowe anakula hela yote kisha mnamuita tajiri aliyetoa hela zake kuendesha chama
Sasa unachangia nini wakati huna unachojua?Nijue taasisi ya majizi Ili iweje labda?
Nafasi za Chadema si za watu ni za kila mmojaHivi kumbe wewe ndiye uliyechukua nafasi ya Makene?